Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

Lusinde: Serikali isifikirie adui ni CHADEMA, ni watendaji!

Mkiambiwa wabunge wenu wana-blaze msuba mnabisha!si mnaona yule mmoja alitaka uwe legalised?huenda huyu pia siku ukimsikia anabwabwaja ovyo basi ujue keshatupia mambo kichwani yuko high!bi kiroboto kawastukia kapiga marufuku wabunge wote kupenda kukaa vichochoroni wakati wa kazi ila mwigu na Nduga nina wasiwasi huwa wanaficha kwenye soksi!najiskia baridi nikijiuliza kama na wale mawaziri watoro bungeni nao sijui wanakuwaga vichochoroni?!aisee inatisha!kuna siku serikali itaingia gharama za kujenga upya viti vya bunge.nyie subirini tu siku wote wakiwa high!zitapigwa pale!
 
Hata saa mbovu kuna wakati mara moja moja inasomeka ukweli pamoja na kuwa ni mbovu kwahiyo huyu kibodaboda asiwashangaze.
 
angeunga mkono ungesema hajar amekataa unaleta majungu binadam,yesu alifunga siku arobaini bila kula mkasema hali anapepo alipofungua akala mkasema ni mlafi.kazi kwel2


Bila shaka, hayo ni maneno yako.
 
Si huwa wanajipa ukichaa kwa muda lakini baadae roho zinawasuta! we unadhani kweli wanayofanya hawayajui? au unadhani hawajui kuwa wanadanganya? au hawajui kuwa wanafanya makusudi kuwabambikizia kesi chadema??? ipo hivi, wanakauli mbiu kw" kwa gharama yoyote lazima tutetee kubaki madarakani" watch out msije mkatulete vita??
 
Walau amekataa kutumika na chama chake,tatizo litabaki kuwa matatizo ya wananchi na sio chadema
 
Back
Top Bottom