agatony8l
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 453
- 103
Duu kumbe huyu jamaa wakati mwingine aliweka kando itikadi za kisiasa huwa anaongea point.
Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.
Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.
Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.
Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja
Kasema - Mawaziri WABUNGE wakitembelea vijiji wapewe maji wanavyokunywa wanakijiji ili wajue shida ya maji vijijini.
Pia kasema CHADEMA sio adui, maadui ni watendaji wa Serikali.
Pia kaponda uchimbaji wa visima kwa gharama kubwa. Kashangaa ilikuwaje Serikali ya Nyerere iliweza kujenga mabwawa na Serikali hii imeshindwa.
Kkamalizia kwa kutounga mkono hoja