playboy baabu
Member
- Feb 4, 2016
- 83
- 12
Subirini na nyie tangazo lenu la Voda lipigwe CCTVTangazo la tembo mnasema nyimbo imepigwa,hata pichani kuna tembo hapo angalieni vizuri
Kiba hana tofauti na Timbulo ndio level yake
Subirini na nyie tangazo lenu la Voda lipigwe CCTVTangazo la tembo mnasema nyimbo imepigwa,hata pichani kuna tembo hapo angalieni vizuri
Kiba hana tofauti na Timbulo ndio level yake
Nifah karibu tule,acha waseme,Kiba si saizi yaoHuoni kama hiyo ni ajabu?
Sumbai kikwetu maana yake PURU... yaani sehemu ya mwisho ya utumbo mpana kiingereza anus kiswahili puru au Mku...... So sishangai kutaka puru kumwambia binadamu akapimwe akilihuyo mtangazaji aliyeuweka huo wimbo apimwe akili
Ubunifu ubunifu ubunifu na akili puuuumbavNdio maana wengine tulisema ile video ni ya kutetea Tembo sio ya kibiashara.
Poleni ndugu zangu mmeingia period kabla ya tarehe kiba habar nyingine puuumbavwe hebu acha kumfananisha timbulo na mambo ya kisenge
Asante mkuu,kama umejua nina njaa mbayaNifah karibu tule,acha waseme,Kiba si saizi yao
teh.... make me sing....Sumbai kikwetu maana yake PURU... yaani sehemu ya mwisho ya utumbo mpana kiingereza anus kiswahili puru au Mku...... So sishangai kutaka puru kumwambia binadamu akapimwe akili
Halafu we mbele za watu utapigwa makofi kiba ndio si saiz ya diamond ni saiz ya timbulo,20 percent saiz za dimond ni p square,davido,a.k.a na ndo mana huwezi kusikia kiba ni nominees wa mtv kipengele cha msanii bora africa hata siku moja"Nifah karibu tule,acha waseme,Kiba si saizi yao
facts facts broHalafu we mbele za watu utapigwa makofi kiba ndio si saiz ya diamond ni saiz ya timbulo,20 percent saiz za dimond ni p square,davido,a.k.a na ndo mana huwezi kusikia kiba ni nominees wa mtv kipengele cha msanii bora africa hata siku moja"
Umetumia weledi sana kuandika hayo, kuna mashabiki ambao hawajui dhima kuu ilikuwa ni kitu gani, kila jambo hulichukulia kishabiki zaidi!Lakin mkuu hii video si imedhaminiwa na wild aid kwe kampeni zao za kupambana na ujangili wa tembo au??coz kwasasa ishu ya ujangili ndo kubwa sana afrika hata ukiangalia kuna makala na kampeni nyingi sana kupinga ujangili BBC,CCTV na vituo vyengine wanaongelea sana!!me sioni ajabu kuonyeshwa cctv ingekuwa mwana au chekecha hapo sawa!!sina chuki yoyote lakin mkuu
Utambe???....kiba mchezo nnteh.... make me sing....
lupela imeziikwa rasmi...
Tuzo kitu kingine na uwezo kitu kingine kangaroo wwfacts facts bro
teh we nakuangalia ukipanik tuu....Tuzo kitu kingine na uwezo kitu kingine kangaroo ww
Nipanick??... Unacheza ww.. Kiba atawaua yaan pamoja na kufanya kolabo nyiiiiiiiiingi nje ila hamna amani kabisa na hata jamaa yenu amani hana na ndo maana muda wote anarusha rusha vijembe tu kwa king kama mtoto wa kike sisi tunawalook tu puuuumbaaaavuuuuteh we nakuangalia ukipanik tuu....
make me sing......
make me sing..broNipanick??... Unacheza ww.. Kiba atawaua yaan pamoja na kufanya kolabo nyiiiiiiiiingi nje ila hamna amani kabisa na hata jamaa yenu amani hana na ndo maana muda wote anarusha rusha vijembe tu kwa king kama mtoto wa kike sisi tunawalook tu puuuumbaaaavuuuu
playboy babu Unatumia nguvu nyiiiiiiiiiiiiiiiingi kusifia usichokielewa, (1) Kiba ni balozi wa wildaid na anafanya kwa kujitolea ( kwasababu walishindwana "wildaid"na mwenye muziki wake wa bongo fleva ) hakuna anacholipwa zaidi ya nauli (2) Nyimbo imedhaminiwa na wao (wildaid) na ndio maana wamewaweka tembo wao mwanzo wa nyimbo (3) Yeye si wa kwanza kuonekana na kufanyiwa interview na chanel za kimataifa tena si kwa msaada wa ubalozi wala nini ila kwa sababu ya muziki na si mwingine aliyehojiwa kwa sababu ya muziki wake ila ni DIAMOND na CNN na BBC (4) na hiyo nyimbo imepigwa kwa ajili ya hao tembo na si kingine nadhani unaakili zako utakuwa umeona kipindi kinazungumzia nini.Nipanick??... Unacheza ww.. Kiba atawaua yaan pamoja na kufanya kolabo nyiiiiiiiiingi nje ila hamna amani kabisa na hata jamaa yenu amani hana na ndo maana muda wote anarusha rusha vijembe tu kwa king kama mtoto wa kike sisi tunawalook tu puuuumbaaaavuuuu