Lupela ya Ali Kiba yapigwa CCTV

Lupela ya Ali Kiba yapigwa CCTV

Kumbe na ww uliliona mkuu ungenisaidia bwana,maana nimepumzika nkasema ngoja nione jamii forums kuna nn nakuta mtu ameandika huu upumbavu wa hali ya juu,hv jaman hawa watu wanaobadilisha luga kwenda kwenye luga za kwao wanasoma nn hapa duniani halafu wanacomment kwa confidence ya hali ya juu,me hate them so much
Nkasema??? Kuna nn??? hv jaman??? luga?? Wanacomment??? Hivi wewe ujinga utaacha lini? Nyani usieliona kundu lako.
Shenzy
 
Sio kuangalia tu nakudownload pia. Sema inanilia space tu nothing amaze
d2e1dcbf2ec39076ca1b3868a54dfbe0.jpg

Tatizo amerekodiwa ajashoot video.
Umenipa raha sana hahahahahaaaaaa watu wa chibu upeo wenu wa kufikiri nna mashaka nao sana serious yaani hiyo tweet maana yake ni kwamba hata jamaa yenu anamfatilia King sasa mpelekee taarifa kwamba ajifunze maana ya kushoot na kurekod huku akijua kwamba hayo ni maneno mawili yenye maana moja bt la pili tunapoonesha hali ya ukanushi katika maneno au sentensi kuna viambishi awali vya ukanushi kama vile si,hu,ha nk ambavyo huleta maneno ya ukanushi kama SIjala..Sitokula nk au Hujala...Hutokula nk au Hajala.. Hatokula nk so asiseme AJASHOOT aseme HAJASHOOT (Elimu Bure)..lakini la mwisho kamwambie "ALIYEROKODIWA" (kwa mujibu wake) amefanyiwa documentary na shirika kubwa la habari Duniani yy anayeshoot(kwa mujibu wake)..documentary lini?... Ahsante.
 
Nkasema??? Kuna nn??? hv jaman??? luga?? Wanacomment??? Hivi wewe ujinga utaacha lini? Nyani usieliona kundu lako.
Shenzy
Elimu gharama umechagua ujinga ni maamuz yako bwana tutakufanyaje sa unadhani.
 
Umenipa raha sana hahahahahaaaaaa watu wa chibu upeo wenu wa kufikiri nna mashaka nao sana serious yaani hiyo tweet maana yake ni kwamba hata jamaa yenu anamfatilia King sasa mpelekee taarifa kwamba ajifunze maana ya kushoot na kurekod huku akijua kwamba hayo ni maneno mawili yenye maana moja bt la pili tunapoonesha hali ya ukanushi katika maneno au sentensi kuna viambishi awali vya ukanushi kama vile si,hu,ha nk ambavyo huleta maneno ya ukanushi kama SIjala..Sitokula nk au Hujala...Hutokula nk au Hajala.. Hatokula nk so asiseme AJASHOOT aseme HAJASHOOT (Elimu Bure)..lakini la mwisho kamwambie "ALIYEROKODIWA" (kwa mujibu wake) amefanyiwa documentary na shirika kubwa la habari Duniani yy anayeshoot(kwa mujibu wake)..documentary lini?... Ahsante.
Chibu alishafanyiwa na mashirika makubwa sana CNN BBC Aljazeera hyo CCTV upuuz tu
 
Asa ukisema hiyo mbna hata kiba kafanyiwa mahojiano (DOCUMENTARY) ni kitu tofauti shemeji
 
Elimu gharama umechagua ujinga ni maamuz yako bwana tutakufanyaje sa unadhani.
Mkuu, nimetoa maelezo ya kutosha pale juu, umeyaluka, ujinga kwangu sio tusi, nina nafasi ya kujifunza hata kwako, kama utaweza, lakini mtu anayekuja kukosoa sarufi kama mwalimu wa shule ya msingi baada ya kuchangia mada ndio namuona kilaza zaidi.. Haya nilikujibu swali lako.. Unalingine?
 
Matusi mbona unaandika vzr,hongera kwa kwenda Swahili course!!!
Mkuu sikuhitaji na nisingekuwa na haja ya kukosoa mabandiko yako.. Next time ujifunze kwamba dhima kuu ya lugha ni mawasiliano na kama utaelewa nilichokiandika ndio kusudi haswa, sasa wewe umeandika "vzr" badala ya "vizuri" nitakuwa mjinga kama nitajifanya sijakuelewa.. Umechanganya kiswahili na kiingeleza lakini nimekielewa, mabandiko yako yana kasoro za kisarufi lakini hili sio darasa, ndio maana nikakuuliza unajua unachokikosoa?
 
Najua akili yangu ndogo lkn ya kwako nukta,siwezi kuandika pirot mm hata siku moja neno ambalo halina hapa duniani
Na mimi siwezi kuandika lkn, vzr hata siku moja, lakini ikitokea mtu akaandika hivyo nitalazimika kumuelewa, sasa ngoja nikuulize, je ni dhambi hapa jf kukosea andishi, je na mimi ninge attack mabandiko yako kwa hiyo aina yako ya maandishi wakati ukijua fika kuwa nimekuelewa ulichokuwa unamaanisha, utanielewa vipi?
 
Wakati wengine wanawaza ngoma zao kupigwa chanell O na trace..ambazo kimsingi no maalum kwa ajili ya burudani habari no kwamba Ngoma Lupela ya king kiba imepigwa kwenye Chanel ya CCTV ambayo kimsingi haijajikita katika masuala ya burudani hii maana yake nini basi??... Maana yake ni kwamba video hiyo si level za Tanzania wala Afrika ila ni levo za Dunia somo kwa ndugu zangu mnaowaza kwamba video nzuri ni YENYE MAUNO MENGI... tafadhali msiendelee kumfananisha KING KIBA na mambo ya kishenzi....
Dstv yng ikiishaga kifurushi inabakiaga CCTV tu uwa naionaga bure hata channel 10 uwa haionyeshu
 
Well said mkuu tunaweza jadiliana hapa kidogo...video hii imepondwa sana ww ni shahid siyo?... Haya inapotokea TV kubwa kama CCTV inapiga video hiyo nini maana yake?...
CCTV inaonyewashaga buree na dstv so unaweza kuona ipo level Gan kwny channel Mia 600+ zinabakiaga cctv tu
 
Wakati wengine wanawaza ngoma zao kupigwa chanell O na trace..ambazo kimsingi no maalum kwa ajili ya burudani habari no kwamba Ngoma Lupela ya king kiba imepigwa kwenye Chanel ya CCTV ambayo kimsingi haijajikita katika masuala ya burudani hii maana yake nini basi??... Maana yake ni kwamba video hiyo si level za Tanzania wala Afrika ila ni levo za Dunia somo kwa ndugu zangu mnaowaza kwamba video nzuri ni YENYE MAUNO MENGI... tafadhali msiendelee kumfananisha KING KIBA na mambo ya kishenzi....
Kwa kujipa moyo tu hamjambo! Unganisha dots mwenyewe kwa haya yafuatayoL:
  • Background ya video ya Lupela wanaonekana tembo wanapita!
  • Ngoma ya Lupela imekuwa produced na WildAid ambao ni taasisi inayohusika na kupambana na ujangili!
  • CCTV ni kituo cha television cha China
  • China ndio taifa linalotajwa kuchangia sana ujangili barani Afrika hususani uuaji wa tembo kutokana na biashara ya meno ya tembo kuwa na soko kubwa China.
  • CCTV wana kipindi kinaitwa CCTV Africa Wildlife na ndio maana hata hiyo screenshot uliyoweka kuna maneno: 'LUPELA', SAVE T....... Hayo maneno ni 'LUPELA', SAVE THE ELEPHANT.
 
Well said mkuu tunaweza jadiliana hapa kidogo...video hii imepondwa sana ww ni shahid siyo?... Haya inapotokea TV kubwa kama CCTV inapiga video hiyo nini maana yake?...
Ulijaribu kujiuliza ikiwa imepigwa kutokana na umaarufu wa huo wimbo au kuna sababu nyingine? Ukweli ni kwamba Lupela ni wimbo uliofadhiliwa na WildAid ambao ni taasisi inayopiga vita ujangili na ndio maana hata kwenye video utaona tembo. Hao CCTV ambao ni kituo cha China wana kipindi kinachozungumzia issues za wanyama pori na usisahau, China inashutumiwa kuchangia kuongezeka kwa ujangili barani Afrika! Kwahiyo huo ni mwendelezo tu wa kampeni za WildAid dhidi ya ujangili
 
Then hat a ikitokea imepigwa CCTV GONGOLAMBOTO hayo ni matawi tu bro bt what to know is that the song played in CCTV... the situation which is abnormal u have to appreciate.
Hawawezi kukubali hilo..vizuri vya kwao tu!!
 
Back
Top Bottom