Lupela ya Ali Kiba yapigwa CCTV

Lupela ya Ali Kiba yapigwa CCTV

Ni kweli mkuu imepondwa coz haikukaa kiburudani ka zilivyo video zingine watu hawakuielewa hii video zaidi ina ujumbe mzito kuhusiana na masuala ya ujangili wa tembo ndo mana hata ukiangalia mahojiano ya kiba na cctv anataka kupitia mziki wake kuhimiza watu kuacha ujangili ndo mana ikaonyeshwa cctv!!Nadhan itakuwa ni moja ya makubaliano yao kwe kudhamini hii video
Sawa kabisa ndugu yangu kwa hiyo kwa dhati kabisa tunakubaliana kwamba hii video ni video yenye maudhui mazito kwa mustakabali wa Tanzania na Afrika kwa ujumla siyo?... Lakin unapoiangalia video hii kwa umakini unapata vitu viwili tofaut umeligundua hilo?..
 
Acha ubwege weweee kamuimbia pilot pale?.. Kikubwa ni video ya wimbo na hata waliohojiwa wamezungumzia video na si pilot ila mtangazi kutilia mkazo wa ukubwa wa tatizo ndo kaingizia na habari ya pilot.... Mtakufa kwa kujifanya wehu hahahahaaaaaa...
Hivi ujinga nao ni ufahari kwako? Unajua kiba kaulizwa nini, na kajibu nini? Umeiona full documentary ya hicho kipande? Au ume conclude kwa hicho nilichokiweka hapo? Kama haujui kuwa hiyo documentary in fully sina haja ya kubishana na wewe, Maybe hata hiyo CCTV unaichungulia kwa manati
 
Sawa kabisa ndugu yangu kwa hiyo kwa dhati kabisa tunakubaliana kwamba hii video ni video yenye maudhui mazito kwa mustakabali wa Tanzania na Afrika kwa ujumla siyo?... Lakin unapoiangalia video hii kwa umakini unapata vitu viwili tofaut umeligundua hilo?..
yah ni kweli video ina ujumbe kwa dunia nzima!!Ila tujiulize akitoa video nyengine bila kuweka masuala ya kupambana na ujangili wala kudhaminiwa na wild aid itaonyeshwa CCTV???
 
Hivi ujinga nao ni ufahari kwako? Unajua kiba kaulizwa nini, na kajibu nini? Umeiona full documentary ya hicho kipande? Au ume conclude kwa hicho nilichokiweka hapo? Kama haujui kuwa hiyo documentary in fully sina haja ya kubishana na wewe, Maybe hata hiyo CCTV unaichungulia kwa manati
A simple question na linaweza kuwa la kulalia ni WHY KIBA?..ukipata jibu gawanya kwa moja ndo utaelewa maana watu watashindwa kuelewa btn me n u who is stupid...
 
sijakataa kiba ni mkali bali hiyo cctv kenya ina deal na ukanda wa east africa tu kwahyo diamond,20% percent,kiba,jua kali,navio ni normal ishu nyimbo zao kupigwa cctv kenya kwa kuwa inaoperate program zao kenya but sio cctv china
Ok nsaidie vipande vya hao ulowataja tafadhali tusiishi kwa "kudhani"...tupia vipande vya hao jamaa pia ulowataja hapo juu.
 
Kiba mtu mwingine bwana, akitoa kitu lazima ukune kichwa na urudie kuangalia/kusikiliza tena na tena.
Sio yeboyebo ambayo huwezi kuangalia mara mbili kama hili boko la leo make me nini sijui!
Cum
 
yah ni kweli video ina ujumbe kwa dunia nzima!!Ila tujiulize akitoa video nyengine bila kuweka masuala ya kupambana na ujangili wala kudhaminiwa na wild aid itaonyeshwa CCTV???
Wakati unajiuliza hivyo jiulize pia target yake ilikuwa nini kuweka vipande vile?... Au hata hao wild aid why walimchagua Kiba na si mwingine?... Inafika hatua tukubaline tu kwamba huyu mtu anajua nn anafanya.
 
CCTV ni shirika la utangazaji la China. Ninachofahamu walifanya mahojiano naye kuhusu kampeni ya kupiga vita uharamia wa tembo.
By the way wimbo wa Lupela ni mzuri na hata video ninaweza kusema ni #simple but very nice.
Nimependa ubunifu.
 
Wakati unajiuliza hivyo jiulize pia target yake ilikuwa nini kuweka vipande vile?... Au hata hao wild aid why walimchagua Kiba na si mwingine?... Inafika hatua tukubaline tu kwamba huyu mtu anajua nn anafanya.
Mkuu mie wala sina shida na Ali kiba na wala sina ushabiki wa timu penye ukweli tunasema tukiacha mahaba pembeni!!Hiv si ni alijitolea kuwa balozi au??
 
Mkuu mie wala sina shida na Ali kiba na wala sina ushabiki wa timu penye ukweli tunasema tukiacha mahaba pembeni!!Hiv si ni alijitolea kuwa balozi au??
Aliteuliwa na aliyekuwa waziri wa Mali asili na utalii serikali iliyopita bwana Lazaro Nyalandu kibongo bongo yupo yy.. K Lyn na Hashim thabeet world wide ni pamoja na yao Ming.. David Beckham na Jackie Chan na wengine wengine mkuu.. Tena uteuzi huu ulifanywa wakati Ali kiba Mwenyewe akiwa marekani kwa ajili ya show... Nadhan nimefafanua vizur
 
Umejueje?...maana yake umeangalia safi sana hahahaaaaaa...
Sio kuangalia tu nakudownload pia. Sema inanilia space tu nothing amaze
d2e1dcbf2ec39076ca1b3868a54dfbe0.jpg

Tatizo amerekodiwa ajashoot video.
 
A simple question na linaweza kuwa la kulalia ni WHY KIBA?..ukipata jibu gawanya kwa moja ndo utaelewa maana watu watashindwa kuelewa btn me n u who is stupid...
Nimekujibu, ungesoma vizuri usingeniuliza tena, is KIBA because he is WILD AID ambassador. Wild aid ni taasisi kubwa zaidi ya kiba, cha kwanza lazima ujue hicho, wapo wakina lupita humo(oscar winner) sasa unatumia kigezo gani kuniambia kuwa CCTV walikuja TZ kwa ajili ya Kiba na sio WILD AID project? WILD AID wamefanya hii event mpaka marekani na KIBA akiwepo pia, na Gret Medias zikalusha event, the wolly documentary ally kiba ana dakika mbili tu(kipande nilichoweka) sasa unatumia kigezo gani hapo kuniambia kuwa walikuja kwa ajili ya mziki wa kiba na sio WILD AID project? Kiba ni msanii mkubwa ndio, CCTV wanaweza kumfuata kwa sababu ni kazi yao lakini ujio huu ulikuwa ni zaidi ya kiba ilikuwa ni WILD AID ambayo ni world wide... Sio shabiki wa mtu yoyote na sijamlinganisha kiba na msanii yoyote ila sipendi unazi watimu zenu so ni kazi yangu kuwaambia ukweli pale itapohitajika... Thanks..
 
CCTV ni shirika la utangazaji la China. Ninachofahamu walifanya mahojiano naye kuhusu kampeni ya kupiga vita uharamia wa tembo.
By the way wimbo wa Lupela ni mzuri na hata video ninaweza kusema ni #simple but very nice.
Nimependa ubunifu.
Simple and clear bt kuna watu wanajifanya hawaoni kilichofnywa na huyu jamaa kwa ushabiki tu wakipuuzi bt taasisi kubwa ya utangazaji kama CCTV ikaguswa na kuona issue ni sensitive na ikafanya documentary kisa huo wimbo kwa upande wangu sioni kama ni jambo la kubeza aysee au we unazungumziaje hii kitu.
 
Me nliamua kupotezea tu... Kuandika shughuli bt labda ni kikwao mkuu tusimbane sana japo tutoe tu msisitizo kwamba elimu ni Bure na kuanza upya siyo ujinga.
Kumbe na ww uliliona mkuu ungenisaidia bwana,maana nimepumzika nkasema ngoja nione jamii forums kuna nn nakuta mtu ameandika huu upumbavu wa hali ya juu,hv jaman hawa watu wanaobadilisha luga kwenda kwenye luga za kwao wanasoma nn hapa duniani halafu wanacomment kwa confidence ya hali ya juu,me hate them so much
 
Back
Top Bottom