Lukuvi: Standardization ifanyike ili matokeo ya wanafunzi yalingane

Lukuvi: Standardization ifanyike ili matokeo ya wanafunzi yalingane

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,242
Reaction score
10,227
Napenda Kutumia Fursa hii kuonesha Kukerwa Kwetu (Mimi na wakazi wote Mtaa wetu Plus JF Members) na Kauli ya
Lukuvi Juu ya Kufutwa kwa Matokeo ya Kidato cha nne.

"Standardization ifanyike ili matokeo ya wanafunzi yalingane na juhudi wazizoziweka katika kusoma kwa mazingira,
hali halisi ya Tanzania na uamuzi wa taifa kuongeza idadi ya shule na wanafunzi wakati uwekezaji katika ubora unaendelea,"

alisema Lukuvi.

Who is Lukuvi By the way?
Je , Kawambwa na Mulugo bado wanapeta?

Kimsingi hii ndo main Point ya Tume ya Pinda.Serikali inataka kusema kuwa Wasahihishaji wamewaonea Watoto.
Hii ni indication kuwa NECTA na Dr Ndalichako wamekubali (Kwa Kulzimishwa) Kuubeba Msalaba wa Serikali wa kutokujali Kilio Cha Walimu.

Madai ya Msingi ya Walimu ambayo Kimsingi ndo yalipelekea Janga la Mwaka Jana.

Hata waki Standardize, Wakisema C Inazia 30% Badala ya 41%, haitakuwa na Tija Kabisa.

Taifa la Wa Taalamu Feki Msingi wake ni Maamuzi ya Kipuuzi Kabisa kama haya.
 
elimu ya Tanzania cjui inaelekea mashariki magharib kusin au kaskazini.kwa mtindo huu hatutang'aa kwenye ajira anga za kimataifa .wastandardise ili iweje?je watakuwa wamesolve tatzo au kulipumzisha na kusubir maziro mengine
 
Nikweli kabisa,hawa wanasiasa watawafanya wanafunzi wasisome kwani wanategemea standazation hizi za kipuuzi wameharibu sasa ,wanaingiza siasa kwenye taaluma hii ni hatari
 
Pitia elimu ya Lukuvi utagundua hata yeye alifanyiwa Standardization. Alifeli form four akaenda kusomea ualimu wa grade A, kupitia mpango wa UPE lakini leo nae anajiita "degree holder" Chuo chenyewe alichosoma hakitambuliki. Hii ndio Tanzania... Ukistaajabu ya Lukuvi utaona ya Agustine Mrema (hajaenda sekondari lakini nae ana degree). Yani huyu ndo funga kazi, ukisia Dar mpaka Moro ndo hii. yani "from Primary to University"
 
Elimu ya Lukuvi ni ovyo we unategemea nini?
 
lukuvi mwenye ana cheti cha UPE tu unategemea nini?
 
Mleta mada inaelekea elimu yako ndogo sana, utambui mhe. Lukuvi ni nani kwenye ripoti ya tume ya Pinda?

Mhe. Lukuvi amekukera kwa lipi? maana alichopeleka bungeni ni maazimio ya serikali na wala sio yake binafsi.

Kuhusu standardization, watakokotoa kiwango ambacho kitaongezwa kwa kila mwanafunzi, mara nyingi kiwango hiko hakibadili sana matokeo, maana ni ongezeko dogo tu linaongezwa.
 
Lukuvi ni mtu makini na mahiri hamna hoja za maana nendeni shule kwanza
 
Lukuvi hawezi kuelewa maana na faida ya elimu kwasbabu hajasoma na amezunguka mfumo uliopo kujiweka alipo

he is another useless tw@tt
 
Hata kama ni ongezeko dogo tu linaloongezwa lakini huu ni upumbavu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Mods,
Naomba msiunganishe Huu uzi na Nyuzi nyingine za Kufutwa kwa Matokeo Ya Kidato Cha Nne
Napenda Kutumia Fursa hii kuonesha Kukerwa Kwetu (Mimi na wakazi wote Mtaa wetu Plus JF Members) na Kauli ya
Lukuvi Juu ya Kufutwa kwa Matokeo ya Kidato cha nne.



Who is Lukuvi By the way???
Je , Kawambwa na Mulugo bado wanapeta???

Kimsingi hii ndo main Point ya Tume ya Pinda.
Serikali inataka kusema kuwa Wasahihishaji wamewaonea Watoto.
Hii ni indication kuwa NECTA na Dr Ndalichako wamekubali (Kwa Kulzimishwa) Kuubeba Msalaba wa Serikali wa kutokujali Kilio Cha Walimu.
Madai ya Msingi ya Walimu ambayo Kimsingi ndo yalipelekea Janga la Mwaka Jana
Hata waki Standardize, Wakisema C Inazia 30% Badala ya 41%, haitakuwa na Tija Kabisa.
Taifa la Wa Taalamu Feki Msingi wake ni Maamuzi ya Kipuuzi Kabisa kama haya.

kweli kabisa,maamuzi ya kipuuzi
 
Hakuna kitu kilichoikera Serikali ya JK kama ule taarifa ya kuwa tangu aingie madarakani elimu imezidi kushuka siku hadi siku ukilinganisha na mtangulizi wake BEN,
 
Pinda na tume yake wameamua kututukana watanzania bila aibu wala uoga.
Hakika ccm ni janga kuu la taifa hili la tanzania.
 
Kuhusu standardization, watakokotoa kiwango ambacho kitaongezwa kwa kila mwanafunzi, mara nyingi kiwango hiko hakibadili sana matokeo, maana ni ongezeko dogo tu linaongezwa.

Acha Uzuzu

Hivi mfumo mpya ndo kitu gani?
Mfumo mpya ulikuwa unasema 1+1=3?
Mbona Lukuvi hakusema huo Mfumo Mpya unafanya vipi kazi? na ulichangia vipi katika kufeli kwa wanafunzi???
Je, Serikali Haikushirikishwa na NECTA juu ya Matumizi ya Huo Mfumo Mpya???
Ni nani Developer wa Huo Mfumo Mpya na amechukuliwa hatua gani???
Tender ya Kutengeza Hu Mfumo Mpya alipewa na nani???
Kuleta Siasa kwenye Elimu ni Hatari sana kwa Mustakabali wa Nchi Yetu.
Msingi wa Taifa Lenye wataalamu Dhaifu/Incompetent, Msingi wake ni Maamuzi kama Haya
 
ukienda kuomba kazi na cheti cha form 4 2012 usitarajie kufanyiwa interview nyepesi
 
Mbowe ana cheti gani? CHADEMA mnategemea nini?
Watu kama Nyie huwaga ni Products after Standardization za Kijinga kabisa kama hizi za Serikali ya CCM
 
Acha Uzuzu

Hivi mfumo mpya ndo kitu gani?
Mfumo mpya ulikuwa unasema 1+1=3?
Mbona Lukuvi hakusema huo Mfumo Mpya unafanya vipi kazi? na ulichangia vipi katika kufeli kwa wanafunzi???
Je, Serikali Haikushirikishwa na NECTA juu ya Matumizi ya Huo Mfumo Mpya???
Ni nani Developer wa Huo Mfumo Mpya na amechukuliwa hatua gani???
Tender ya Kutengeza Hu Mfumo Mpya alipewa na nani???
Kuleta Siasa kwenye Elimu ni Hatari sana kwa Mustakabali wa Nchi Yetu.
Msingi wa Taifa Lenye wataalamu Dhaifu/Incompetent, Msingi wake ni Maamuzi kama Haya

la mwisho necta ameimplement mfuko mpya bila kushirikisha serikali wala mashule? hiyo inaitwa "mbawe" wale wa museveni wanaelewa
 
Back
Top Bottom