Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Sasa imeshabainika kuwa huyo Ludovick unayemtetea aliwasiliana na Mwigulu mara baada ya kunaliza kumrekodi Lwakatare Desemba mwaka jana na siku iliyofuata Mwigulu akatangaza kuwa ana mkanda wa video unaoonyesha viongozi wa Chadema wakipanga mauaji.
Nadhani kuwa Mwigulu hatakuwa mnafiki kama viongozi wa Chadema na kumkana Ludovick
Nadhani kuwa Mwigulu hatakuwa mnafiki kama viongozi wa Chadema na kumkana Ludovick