Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 36,576
- 23,876
Acha uongo wako hapa wewe tapeli mkubwa weweNamfahamu huyu kijana vizuri.
Ni kimbelembele sana.
Yuko Dodoma, ni mtumishi wa umma, kada ya Record management, ofisi naiweka kapuni
Acha uongo wako hapa wewe tapeli mkubwa weweNamfahamu huyu kijana vizuri.
Ni kimbelembele sana.
Yuko Dodoma, ni mtumishi wa umma, kada ya Record management, ofisi naiweka kapuni
Akili mnemba ina akili kuwazidi ujueWote wanatumia akili mnemba🤣🤣
Kwanini umemtaja Kikwete kisha ukamruka JPM na kuhamia kwa Samia wakati hata kwa JPM watu aina ya Lucas walikuwepo tena kwa wingi zaidi nawe ukiwa mmoja wao?! Na kwanini umtaje Malaria Sugu na Faizal Fox na sio Lizaboni na Fox au na Sugu? Lucas Mwashambwa, huyu Chawa mwenzako anazunguka zunguka tu lakini anachotaka kufahamu ikiwa hilo Lucas ni geresha tu au nawe ni Mzee wa Makobasi na unampigania "wa dini yetu" kama ambavyo nae alikuwa anafanya kwa JPM?GTs,
Naomba kuuliza hivi Lucas Mwashambwa ni nani? Maana enzi zile za Dkt Kikwete Malaria Sugu tulihangaika naye sana ila akaja kupotea, akaja FaizaFoxy naye akasumbuaaa, sasa hili li mtu linaitwa Lucas Mwashambwa ni nani?
Wanasemaga eti ile I'd ya Bia yetu ilikua ya mzee mzima magu.
Ni mporipori fulani hivi mzaliwa wa Mbeya ila alikuja na mama yakeGTs,
Naomba kuuliza hivi Lucas Mwashambwa ni nani? Maana enzi zile za Dkt Kikwete Malaria Sugu tulihangaika naye sana ila akaja kupotea, akaja FaizaFoxy naye akasumbuaaa, sasa hili li mtu linaitwa Lucas Mwashambwa ni nani?
Huyo ni boya kabisa. Uwezi kumfananisha na FaizaFoxy au Malaria Sugu.GTs,
Naomba kuuliza hivi Lucas Mwashambwa ni nani? Maana enzi zile za Dkt Kikwete Malaria Sugu tulihangaika naye sana ila akaja kupotea, akaja FaizaFoxy naye akasumbuaaa, sasa hili li mtu linaitwa Lucas Mwashambwa ni nani?
Ni ng'ombe wa mamaGTs,
Naomba kuuliza hivi Lucas Mwashambwa ni nani? Maana enzi zile za Dkt Kikwete Malaria Sugu tulihangaika naye sana ila akaja kupotea, akaja FaizaFoxy naye akasumbuaaa, sasa hili li mtu linaitwa Lucas Mwashambwa ni nani?
Mental caseKwenye undelined red utaweza jua ni mtu wa aina gani!
View attachment 3338293
Hahaha Ziroseventytwo hiyo play cha ya comrade hahahaHuyo ni boya kabisa. Uwezi kumfananisha na FaizaFoxy au Malaria Sugu.
Huyu viwango vyake ni vya Bia yetu. Hajui hata kujenga hoja. Uchawa ndio umemjaa.
Mmeanza kugombana?GTs,
Naomba kuuliza hivi Lucas Mwashambwa ni nani? Maana enzi zile za Dkt Kikwete Malaria Sugu tulihangaika naye sana ila akaja kupotea, akaja FaizaFoxy naye akasumbuaaa, sasa hili li mtu linaitwa Lucas Mwashambwa ni nani?
Ile mkuu Mudawote ulisumbua sana. Siku hizi unakuja JF mara moja moja sana.Hahahaha mi sikusumbua buana acha utani Masanja
Hili swali ingekua kule X. Tungemuliza grok atujibu ..GTs,
Naomba kuuliza hivi Lucas Mwashambwa ni nani? Maana enzi zile za Dkt Kikwete Malaria Sugu tulihangaika naye sana ila akaja kupotea, akaja FaizaFoxy naye akasumbuaaa, sasa hili li mtu linaitwa Lucas Mwashambwa ni nani?