Lowassa watulize watu wako

Lowassa watulize watu wako

Wewe usijifariji kwa kauli za pale kamati kuu kama kwenu hakuna sintofahamu basi ww uko Msumbiji sio Tanzania

Muambie huyo mkuu, hata huku kwetu hali ni tete kwelikweli.
Tutakutana October tu, hatuwezi kusahau dhuluma tuliyofanyiwa na mkwere.
 
Baada ya kukatwa kwa Mzee wetu wingu zito limetanda miongoni mwa sisi wafuasi wake hasa kutokana na ukimya huu wa Mzee wetu.

Mzee Lowasa kumbuka siku tunaianza safari yetu pale arusha ule umati mkubwa wa watu,kumbuka pia wakati wakutafuta wadhamini ule utitiri wa watu uliokua nyuma yako.
Hakuna mkoa ulipita usitikisike kwa kishindo chako. Wakumbuke wadhamini elfu 87 tulio nyuma yako.

Mzee wangu naomba ututulize sisi wafuasi wako mana kuna sintofahamu kubwa ndani ya mioyo yetu. Kumbuka sisi ni wengi kuliko wale walioamua kwa utashi wao.

Kama ukiamua kusema chochote sisi tutafuata tu tuko tayari siku zote na muda wote.Asikudanganye mtu eti CCM haijapasuka njoo uku uone watu walivyosusa na kuchukizwa na walichokifanya.

Nakusihi mzee tutulize watu wako lasivyo unatuacha kwenye wakati mgumu.Fanya hima jembe langu nakutegemea sana.

#Lowasa watulize watu wako

Wewe umevimbiwa lala sasa una leta habari za abunuasi huku wewe Rais wako kuanzia leo ni Magufuli hutaki mtapigwa tuu au muhame nchi muende Burundi nako mtapigwa tuu mm ningewashauri team fisadi tulieni kwasababu lowasa ni sawa na yule mpiga filimbi wa ambae kundi la panya lilimfuata wakaishia baharini alipo piga tena watoto wakamfuata na hawakurudi tena
 
Baada ya kukatwa kwa Mzee wetu wingu zito limetanda miongoni mwa sisi wafuasi wake hasa kutokana na ukimya huu wa Mzee wetu.

Mzee Lowasa kumbuka siku tunaianza safari yetu pale arusha ule umati mkubwa wa watu,kumbuka pia wakati wakutafuta wadhamini ule utitiri wa watu uliokua nyuma yako.
Hakuna mkoa ulipita usitikisike kwa kishindo chako. Wakumbuke wadhamini elfu 87 tulio nyuma yako.

Mzee wangu naomba ututulize sisi wafuasi wako mana kuna sintofahamu kubwa ndani ya mioyo yetu. Kumbuka sisi ni wengi kuliko wale walioamua kwa utashi wao.

Kama ukiamua kusema chochote sisi tutafuata tu tuko tayari siku zote na muda wote.Asikudanganye mtu eti CCM haijapasuka njoo uku uone watu walivyosusa na kuchukizwa na walichokifanya.

Nakusihi mzee tutulize watu wako lasivyo unatuacha kwenye wakati mgumu.Fanya hima jembe langu nakutegemea sana.

#Lowasa watulize watu wako

Kama na wewe upo nyuma ya Lowassa nachelea kusema CCM walikuwa sahihi kukata jina la Lowassa....

Haujui haya unachokiandika...

Eti wadhamini elfu 87....
 
Mapambano bado yanaendelea! Tuendelezi mapambano hadi kieleweke!

wewe uliyeanzisha Uzi ukitaka hata kesho Magufuli aapishwe??!! au mapambano ya kugombea posho??!!

Be real,vinginevyo nyamaza ili usimuaibishe mwenye jina,au njoo na personal id yako
 
Team Mamvi the game is over, mlijaribu kuleta mafuriko kisoda kimeyazuia, Nchimbi,DaaSophy,Kimbisa,Jerry Slaa,Madabida washarudi kundini naona hiyo ndiyo suluhu kwao.Mzee kingunge, Mgeja na Msindai hata vumbi lao halionekani what a shame.
 
Kama ukiamua kusema chochote sisi tutafuata tu tuko tayari siku zote na muda wote. Asikudanganye mtu eti CCM haijapasuka njoo uku uone watu walivyosusa na kuchukizwa na walichokifanya.
#Lowasa watulize watu wako
Huku wapi? Au watu wa team washaelewa?
 
Hawezi kuhama ccm, itakula kwake.Hizo hela alizo nazo zitayayuka zote na wadhamini wake watakimbia nchi. Mfano mzuri ni mbowe, ccm imemuona hana madhara yeyote na ndio maana anaendelea na biashara zake. Lasivyo angeku juu ya mawe. Muulize bakhressa alivyo shikishwa adabu baada ya kufadhili cuf.
 
itakusaidia nini?hao wana ccm wa lowasa wengi hawatapiga na wakipiga watapiga kinyume na ccm.
'Watu wa Mwanza' wamechana kadi...

Mwanza ina watu wangapi?..wana CCM wangapi?...

Kusema watu wamechana/wamerudisha kadi za CCM/CDM/CUF bila kuonesha idadi haina maana yoyote...

Kuhusu 'kunisaidia nini' muulize huyo uliyejipa jukumu la kumjibia ni kwa nini alisema 'watu wa Mwanza wamechana kadi za CCM mbele yake'...
 
Baada ya kukatwa kwa Mzee wetu wingu zito limetanda miongoni mwa sisi wafuasi wake hasa kutokana na ukimya huu wa Mzee wetu.

Mzee Lowasa kumbuka siku tunaianza safari yetu pale arusha ule umati mkubwa wa watu,kumbuka pia wakati wakutafuta wadhamini ule utitiri wa watu uliokua nyuma yako.
Hakuna mkoa ulipita usitikisike kwa kishindo chako. Wakumbuke wadhamini elfu 87 tulio nyuma yako.

Mzee wangu naomba ututulize sisi wafuasi wako mana kuna sintofahamu kubwa ndani ya mioyo yetu. Kumbuka sisi ni wengi kuliko wale walioamua kwa utashi wao.

Kama ukiamua kusema chochote sisi tutafuata tu tuko tayari siku zote na muda wote.Asikudanganye mtu eti CCM haijapasuka njoo uku uone watu walivyosusa na kuchukizwa na walichokifanya.

Nakusihi mzee tutulize watu wako lasivyo unatuacha kwenye wakati mgumu.Fanya hima jembe langu nakutegemea sana.

#Lowasa watulize watu wako
B-w-e-g-e hebu nenda ku flush u-ji-n-g-a wako chooni.
 
Back
Top Bottom