Mwandosya hafai kuwa rais hata kidogo. Si unakumbuka kipindi kile DAWASCO wanawakatia maji mawaziri wasiotaka kulipa bill za maji akasema waachwe. Pia akiwa waziri wa mawasiliano na uchukuzi inaemekana pia naye ameshiriki kuihujumu TTCL. Kwa wanaomfahamu vizuri wanasema pia ni mkabila sana. Naomba kuwasilisha.
Mwandosya amerudi juzi tu toka matibabu mnaanza na siasa zenu za kijinga kuhusu Urais!! Muacheni apumzike mtu wa watu kila kukicha mnamuota!!