Lowassa Vs. Membe - Tanzania's own "Thrilla in Manila"?

Lowassa Vs. Membe - Tanzania's own "Thrilla in Manila"?

Mambo yote yatakuwa hadharani mwakani kwenye uchaguzi wa ndani wa CCM.
Hapo kambi haziwezi kujifisha. Kipindi cha uchaguzi wa ndani, ukiwa interested unaweza kufuatilia kambi ya mtu mpaka level ya tawi!
 
hivi ccm model ya 'leadership' wapo inatoka wapi?

Nyerere alijaribu kuiga wachina na yeye mwenyewe akaingiza ya kwake
je hawa waliopo wanatoa wapi????

hivi ccm ya leo ina quality za leadership hata za kina MIRAMBO,MKWAWA NA KABAKA????????

hivi wana 'value' na 'norms' zozote zile zinazofahamika??????/

binafsi sioni kitu
 
Nafikiri wengi bado mnazunguka kwenye opinion yangu...bonyeza hapa....https://www.jamiiforums.com/tanzani...hawa-watatu-lazima-mmoja-awe-rais-2015-a.html.

Kati ya hawa watatu LAZIMA mmoja awe rais 2015

Nimeandika sababu zangu kwa kifupi sana lakini nafikiri zinabeba maana kubwa believe me.

.................Vote for Dr. W. Slaa .........................OR ...........Vote for Hon. H Mwinyi ........ OR.......... Vote For Hon E. Lowassa
images
......................
images
......................
images


..............Chadema Candidate................................................... CCM Candidate............................... Independent Candidate

......Serikali ya Utawala wa Sheria na Haki...................... Serikali ya Umoja na Mshikamano................... Serikali ya Uwajibikaji

Una maoni gani kati ya haya majina matatu ni yupi unayempa asilimia kubwa na kwa sababu gani kama kwa haya majina matatu hakuna unayehisi ni mgombea anayefaa ni yupi unayeona atafaa na kwa sababu zipi, natanguliza shukurani.
 
Haaa haaa ati serikali ya Uwajibikaji wakati mtu kujivua gamba NEC imekuwa uhasama mkubwa usiokwisha. Hivi neno kuwajibika mnalitumia vipi humu, ni lini jizi likawajisha watu wengine au ndio akili ya unyapala!...
 
Haaa haaa ati serikali ya Uwajibikaji wakati mtu kujivua gamba NEC imekuwa uhasama mkubwa usiokwisha. Hivi neno kuwajibika mnalitumia vipi humu, ni lini jizi likawajisha watu wengine au ndio akili ya unyapala!...


Hivi kipi kikubwa kuachia u-PM au kujiondoa CCM??

Mkandara EL aliishajiuzulu na kuwa mfano wa uwajibikaji bora kabisa kwa ngozi zetu hizi nyeusi ...........haya ya kuwa ni mwizi au la unasema ww ila kwa wengine wangeuliza kwa nini yuko huru? ili hali unatoka mapovu kuwa ni mwizi na anakutetemesha!

kama kweli mwizi na yuko huru definitely tatizo sio EL tena we have more work to do maana kumbe siyo EL atapona wengi tu we aill then create criminalised society! if we are not there yet

Mkuu kwenye swala la EL tulia sana , maana nimeona comments zako nyingi sana zenye maswali mengi sana, siku zote ishini kwa misimamo. Unajua ukiwa CCM unaonekana kwa rangi zote....siasa za makundi zinawamaliza

CCM wote wezi hakuna wa kumvua gamba mwenzake, umesikia??
 
what are the qualities for these two candidates? for me all of them dont qualfy to run for the presidency of this country, tunataka watu ambao watabadilisha kabisa mwelekeo wa taifa letu maana sasa tuna viongozi wanaofikiria jinsi ya kutafuna maslahi tu na sio kuikomboa nchi kutoka kwa umasikini (uzalendo ni ziro for both of them nahii ndio point kubwa sasa kwa raisi wa baadae)
 
Membe alisilimishwa ili aiingize nchi kwenye OIC. Ataleta udini
 
Tatizo la CCM ni mfumo na siyo watu,walipoharibu mifumo ya kimaadili na kiutendaji tena kwa maksudi ndipo hapo tukaanza kushuhudia hizi vurugu zote(wizi,ufisadi,ukosefu wa maadili kwa viongozi na rushwa)
 
mwanakijiji huyu jamaa ananikera sana anautaka urais kwa nguvu zote Chair of Parliamentary Standing Committee for Security and Foreign Affairs( EL) Hata membi pia hafai

kuna majembe kama akina mwakyembe, mwandosya ila ndio wamewapa sumu na ndio tunataka rais kama hawa wakinyooshe chama maana wanyakyusa si desturi yao unafiki kama wa JK.

membi na EL wajue vita yao furaha ya kunguru lets them fight and tupate rais kutoka nje yao it will be much better
Naloli (ni kweli) hapo kwenye wekundu ebu baelezee bana,tukumbuke Aboud Jumbe yaliyompata Kyela,pia vijiji vya ujamaa vilivyokataliwa.Pia yanayotokea Mwanjelwa yote ni kuukataa uzandiki,
 
Mkuu, I'm afraid, the show has not begun yet. The two bulls are just warming up. And I'm afraid if it does it's gonna be fatal. The warm up is the shameless smearing of scum on each other's face. I hope none of them shall be nominated by CCM for presidency when the time comes.
 
Mkuu walichokifanya Waasi wa Libya hakina tofauti na Alichofanya Marehemu Gadafi zaidi ya Miaka Arobaini iliyopita. Gadafi aliua akaingia na hakuwahi kufanya Ucahguzi and Yet tulikuwa tunamtambua. Museveni aliingia Madarakani Kajeshi and Yet tulimtambua na bado tunamtambua. Kagame aliingia Madarani kwa Mtutu wa Bunduki tulimtambua na Tunamtambua.

Mkuu Kubali kataa katika hili la Libwa kuna Interest za akina Membe zimezimwa. Bila sahaka walikuwa wanampango wa kupokea Pesa ili waje wapambane na Laig'wanan Lowasa

Point of corrections Sir/Maam. I am no fan of Gaddafi, but he seized power in a bloodless coup, hakuua mtu alipoingia madarakani.
 
Hivi kipi kikubwa kuachia u-PM au kujiondoa CCM??

Mkandara EL aliishajiuzulu na kuwa mfano wa uwajibikaji bora kabisa kwa ngozi zetu hizi nyeusi ...........haya ya kuwa ni mwizi au la unasema ww ila kwa wengine wangeuliza kwa nini yuko huru? ili hali unatoka mapovu kuwa ni mwizi na anakutetemesha!

kama kweli mwizi na yuko huru definitely tatizo sio EL tena we have more work to do maana kumbe siyo EL atapona wengi tu we aill then create criminalised society! if we are not there yet

Mkuu kwenye swala la EL tulia sana , maana nimeona comments zako nyingi sana zenye maswali mengi sana, siku zote ishini kwa misimamo. Unajua ukiwa CCM unaonekana kwa rangi zote....siasa za makundi zinawamaliza

CCM wote wezi hakuna wa kumvua gamba mwenzake, umesikia??

umesahau ule usemi "nguvu ya mamba iko ku mayi"?
kwa el ccm ni ndio maji hivyo ni rahisi kujiuzuru u-pm kuliko kutoka majini.
 
twendeni mbele turudi nyuma. mkijua role ya membe kwenye ule mtandao original
mtafahamu kwa nini camp ya el inaona ni vyema ku-deal na membe mapemaaa. dah!
 
Wakati kundi moja linahangaika na hoja ya kuwavua gamba wenzao ... kundi jingine liko bize kupanga safu ya uongozi wa Chama utakaofanyika mwakani kuanzia ngazi ya tawi mpaka mkoa, maana utaratibu wa uchaguzi wa NEC unafanyiwa marekebisho. Hapo ndipo mafisadi wanapowazidi kete wale wanaojiita wasafi a.k.a "wapiganaji".
 
Back
Top Bottom