Lowassa, Rostam sasa kuwasha moto

Lowassa, Rostam sasa kuwasha moto

Kamanda Edson;

Let us wait and see, time will tell.

Nape ni Mpinzani asilia wa Mafisadi hasa EL. Sasa jiulize kwa nini JK alimweka Nape na dogo huyu anawabomoa bila huruma kila kukicha na babu yao Mukama anawapa Chagizo?

Hii ni Ngoma ya wakubwa Mkuu, tusubiri dakika 90. I tend to believe JK atawatosa na asipowatosa CCM inakufa na tai shingoni.

Peace & Love.

Respect.

katika post zangu huko nyuma nimekwambia hawa kina nape kelele zao ni ndani ya hizi siku 90 walizopeana........hata yeye nape anajua

baada ya dk tano check pm yako
 
Ukweli ni kwamba, ata file la richmond Lowassa alitaka kulipiga white wash.. Intelligence file (likazunguka likaenda kwa inchaji JK mwenyewe..) Saivi keshaingia kipindi cha pili, hela ataiba, lakini that is not an issue. JK ni mtu wa ujiko. He is going to want a legacy and I think he has discovered that UFISADI will taint his presidency, and he used it to come to power. They know people will hate him even more kama hato fanya chochote. Ata uibe shilingi ngapi bwana... ukitupiwa mawe na kuzomewa kama Mkapa kinauma ati. Lazima JK aiokoe CCM na awatose watu ambao wako kwenye ma scandal mengi (ata zile zinazomhusu) So according to him..hawa kina EL, RA AC ni collateral damage tuu.. Ajali kazini.
 
I think JK knows what he is doing...but ' just want to see that day the Big three are realy out of the CCM
 
Tujikumbushe yaliyotokea mwaka jana.....................

Dah, magamba madogo yameondolewa limebaki gamba sugu.....kazi ipo
monduli11.jpg


sasa mbona gamba sugu na hatari bado lipo?
 
Mwacheni Mwalimu aitwe Mwalimu. Naona yule mzee alipozungumzia suala la ubaguzi watu wengi hawakumwelewa. CCM wanawabagua CHADEMA kwa kusema wao chadema sisi CCM. Wamemaliza hapo, wamegundua ala kumbe kumbe tuna magamba. Watavua magamba yote na mwisho wa siku watagundua kuwa wana UPELE. Sasa hapo ndo ngoma itakapokuwa inogile. Jamani kutoa upele kazi sana, hiyo nadhani mpaka m/kiti atalia
Tehe tehe tehe!
Wanichekesha polisi!
Tuombe tufike huko mapema! M/Kiti kulia
 
Ni kila siku sasa tukisikia bwana Nape akiwawashia moto mafisadi watatu kwamba wajivue uongozi na hata uanachama ndano ya CCM. je kama wakianzisha chama chao cha siasa nini mtazamo wako? watavuna au ndiyo utakuwa mwisho wao wa kisiasa?
 
Hivi wana JF , mapacha watatu wakiamua kuacha CCM na kujiunga na chadema watapokelewa ?
 
Hapa mmechesha, siku zote mmekuwa wapinzani wa ufisadi, Leo mmekuwa watetezi wa mafisadi kwa Sababu ya chuki yenu dhidi ya CCM. Kwa hili CCM imewapiku nwa wananchi wamehamia. Ninyi na CDM yenu mtabaki mahameni katika moto wa milele.
ha ha ha,kweli wewe ni sailor usiye na dira ya sumaku,naona wapotea katikati ya bahari...kila la kheri utatukuta pwani..
 
ni kila siku sasa tukisikia bwana nape akiwawashia moto mafisadi watatu kwamba wajivue uongozi na hata uanachama ndano ya ccm. Je kama wakianzisha chama chao cha siasa nini mtazamo wako? Watavuna au ndiyo utakuwa mwisho wao wa kisiasa?

raia yeyote ana haki ya kuanzisha chama cha siasa kuvuna watu au kutovuna ni matokeo ya baadae. Inakusumbua hiyo mkuu?????????????
 
...........Acha mzaha,nitajie hao mapacha watatu...maana mie natambua kuwa mapacha watatu ni copyright name ya

  1. Jose Mara
  2. Kharid Chokoraa
  3. Kalala Junior
 
watavuna wanachama wengi kwani wanakubalika sana miongoni mwa watanzania..vipi umefurahi sasa?ndicho ulichotaka kukisia hiki!
 
Hivyo vyombo unavyofikiri viko alert, yawezekana viko kwenye pay list yao.
Kama bwana mkubwa ndiyo walimuweka madarakani, watashindwaje kuviweka mfukoni hivyo vyombo vilivyoteuliwa na bwana mkubwa?
You must be joking mkuu or you are out of your mind!
Yaani RO wa UWT,CDF wa JWTZ na IGP wa Police wako kwenye payroll ya RA,EL na AC?
That is a serious, irrelevant and unwarranted proposition.
I doubt you know what you are talking about.
 
Ni kila siku sasa tukisikia bwana Nape akiwawashia moto mafisadi watatu kwamba wajivue uongozi na hata uanachama ndano ya CCM. je kama wakianzisha chama chao cha siasa nini mtazamo wako? watavuna au ndiyo utakuwa mwisho wao wa kisiasa?

duniangumu....hata kamba mguuni haijakutoka ,unakuja na thread yako ya kidodoso...peleka kule facebook hii...hapa hatujadili masuala light namna hii.....nadhani ni mmoja wa lile genge lililomagwa hapa na Msekwa ....hapa tunafanyia mjadala kwa moyo wa upenzi kwa Taifa na sio PESA au malipo.....
Pelekeni hii kule na thread nyingine zisizokuwa na kichwa wala miguu kule!!!
 
raia yeyote ana haki ya kuanzisha chama cha siasa kuvuna watu au kutovuna ni matokeo ya baadae. Inakusumbua hiyo mkuu?????????????


waambie ndugu yangu ...hawa jamaa inaonekana hawajiamini.....na kwa kuwa chama ni cha mafisadi [ccm] ,kikianzishwa chama kingine cha mafisadi......basi jibu ni kuwa ,wanachama wa kweli wa ccm waliozowea kupewa pilau wote watajiunga na mapacha watatu na kuifanya ccm kufa!
 
nina imani na mwenyekiti wa ccm taifa. Hawa mapacha wa3 watu mnawaona kama miungu na wakati hawana chochote. My president will get rid of them within the next 90 days
 
Kama kweli jk ni amiri jeshi mkuu mapacha watatu ni kama kumuua inzi ishu ndogo hii katiba inaruhusu jk kuwaondoa watu vikwazo ktk utawala wake hata kama ikibidi wafe mbona wengi tu waliteketea tangu enzi ya mchonga
 
nina imani na mwenyekiti wa ccm taifa. Hawa mapacha wa3 watu mnawaona kama miungu na wakati hawana chochote. My president will get rid of them within the next 90 days

Kwanini iwe ndani ya siku 90? Kigezo cha kuwatosa kitakuwa ni nini? Kama ni EPA/KAGODA zilitumika kumuingiza Ikulu huyo Mheshimiwa. Kama Radar hata Mkapa alipokea mgawo wake. Kama ni Richmond hata JK alishiriki kuitetea.
 
Hizo kauli za hao mapacha watatu zinaonesha ni jinsi gani kuleana kupo, ilitakiwa kwanza waone aibu kutoa kauli kama hizo. Wangekua wazalendo siku zote walikua wapi?
 
Back
Top Bottom