Lowassa, Rostam sasa kuwasha moto

Lowassa, Rostam sasa kuwasha moto

Hawa mafisadi watatu badala ya kuwaita MAPACHA WATATU kwa nini tusiwaite tu RACHEL
Rostam Azizi Andrew Chenge, Edward Lowassa = RACHEL
 
images


wengine hawa hapa
 
TAARIFA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA EL

MAPACHA WATATU EL,AC NA RA ,WAMEKUWA WAKIFANYA VIKAO KWA SKYPE TOKEA TAMKO LA CHAMA LA KUTAKA WAACHIE NAFASI ZAO,MPASHAJI ANASEMA MAPACHA HAO WAMEKUWA WAKIFANYA ONLINE MEETING KILA SIKU KWA ZAIDI YA MASAA SABA KWA KUTUMIA SKYPE KWANI WAMEKUBALIANA WASIKAE PAMOJA KUTOKANA NA TISHIO LA KUWAUA AMBALO MMOJA WAO ALILINASA KUTOKA KWA SHUSHUSHU WAKE AMBAYE NI MMOJA WA VIONGOZI WA VIJANA WA CHAMA CHA MAGAMBA ALIYEWEKWA KWENYE MPANGO HUO NA CHAMA HICHO CHA MAGAMBA

MY TAKE;hawa mapacha wanajipanga kujibu mapigo na kuufutilia mbali utawala wa JK;;,UWEZO WANAO,SABABU WANAZO NA NGUVU WANAYO.

NGOMA INOGILE,VITA VYA PANZI KUNGURU TWALAAAA

Hapo kwenye ReD pamenipa raha sana.Asante mkuu kwa tafsiri hii mpya na fasaha...
 
hahaaaaaaaaaa CHAMA CHA MAGAMBA YA NYOKA NA KINA RACHEL-(ROSTAM AZIZ ANDREW CHENGE NA EDWARD LOWASA=RACHEL)
 
natema mate chini mkuu.....jk hana ujasiri huo hata chembe.....labda hawa mapacha waamue kufa kifo cha huruma (eutanesia death)maana yake wafe kwa wakati mmoja, sababu za vifo zisijulikane, mda wa kufa usijulikane, na eneo liwe la mahali pamoja hapo ccm na jk atawini...lakini kwa ninavyomjua chenge na aziz hakika hawatakubali.......lazima ataropoka tu

Mkuu;

Dont underestimate the power oj JK as a President. He is Command In Chief of the Armed Forces na kuna sheria zinampa nguvu ya ajabu mbali ya katiba.

Kama JK amedhamiria hakuna wa kumsimamisha. Take it from me or leave it.

Na nyeti tulizonazo ambazo tulizipata kabla hata ya CC na NEC ni kuwa JK amedhamiria come whatever may lazima EL atoswe tu maana amemchezea shere.

RA na AC hawana kitu. In fact RA si tishio kabisa kwa kuwa anaweza hata kufukuzwa Nchi na uraia wake wa kuchonga. AC ana pesa gani wakuu? hiyo 1 Billion +?

Peace and Love.

Respect.
 
TAARIFA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA EL

MAPACHA WATATU EL,AC NA RA ,WAMEKUWA WAKIFANYA VIKAO KWA SKYPE TOKEA TAMKO LA CHAMA LA KUTAKA WAACHIE NAFASI ZAO,MPASHAJI ANASEMA MAPACHA HAO WAMEKUWA WAKIFANYA ONLINE MEETING KILA SIKU KWA ZAIDI YA MASAA SABA KWA KUTUMIA SKYPE KWANI WAMEKUBALIANA WASIKAE PAMOJA KUTOKANA NA TISHIO LA KUWAUA AMBALO MMOJA WAO ALILINASA KUTOKA KWA SHUSHUSHU WAKE AMBAYE NI MMOJA WA VIONGOZI WA VIJANA WA CHAMA CHA MAGAMBA ALIYEWEKWA KWENYE MPANGO HUO NA CHAMA HICHO CHA MAGAMBA

MY TAKE;hawa mapacha wanajipanga kujibu mapigo na kuufutilia mbali utawala wa JK;;,UWEZO WANAO,SABABU WANAZO NA NGUVU WANAYO.

NGOMA INOGILE,VITA VYA PANZI KUNGURU TWALAAAA

Kumonitor skype siyo rahisi labda uwe una address yao na kwa kibali chao, na hata kufahamu kama wanaskype au la. Muhimu hapa ni mjadala umekubalika.

Katika hiyo tripatite meeting EC nadhani ni mtu wa hatari sana na ni action oriented iwe elimination au uhaini. Ninatamani sana kuwasikiliza.

Ninakumbuka wimbo mmoja wa jkt umeyataka mwenyewe .........

lakini yote kwa yote CCM hatoki mtu, na hasa mafisadi wa vichwa saba
 
sasa mnaambiwa mapacha watatu wanapiga online meeting usiku na mchana wanataka kumngoa JK,kama JK ni kidume atangaze kuwafukuza aone cha mtema kuni

Atangaze mara ngapi? Is either of the two awaache waanguke huko na kugika kama kioo cha gari ikipata impact ama awang'ang'anie aanguke nao motoni waungue wote into ashes; these are the only possible choices for the time being hakuna njia nyingine I ahve repeated this several times and am going on repeating hakuna fisadi atakaye salia iwe leo ama kesho its too late to catch the flying plane.
 
Mkuu;

Dont underestimate the power oj JK as a President. He is Command In Chief of the Armed Forces na kuna sheria zinampa nguvu ya ajabu mbali ya katiba.

Kama JK amedhamiria hakuna wa kumsimamisha. take it from me or leave it.

Na nyeti tulizonazo ambazo tulizipata kabla hata ya CC na NEC ni kuwa JK amedhamiria come whatever may. lazima EL atoswe tu maana amemchezea shere.

RA na AC hawana kitu. In fact RA si tishio kabisa kwa kuwa anweza hata kufukuzwa Nchi. AC ana pesa gani wakuu? hiyo 1 Billion +?

Peace and Love.

Respect.


JK anategemea power ya hapo kwenye red wenzie wanategemea power ya brain yao. Hapo wapi na wapi ingekuwa vema JK nae pia akategemea brain power!!
 
JK anategemea power ya hapo kwenye red wenzie wanategemea power ya brain yao. Hapo wapi na wapi ingekuwa vema JK nae pia akategemea brain power!!

Kamanda Meddie;

Time will tell. Stay tuned. Mimi si shabiki wa JK lakini kama amedhamiria hakuna chakuwa na Brain wala nini. Muulize Mugabe, Muulize Kibaki walivyofanya nk. wana Brain gani hawa?

Usicheze na Urais as an Institution na kama alieshikilia nafasi hiyo anakusudia kufanya kitu.

Hata kama Triangle Twins wamewanunua watendaji, lakini head wa Instutution za dola bado ni wateule wa JK na ndo wenye nguvu. Unless hao Triangle Twins wanataka kufanya Uhaini.

  1. EL anajua
  2. RA anajua
  3. AC anajua
  4. Mafisadi wengine pia wanajua
Kama JK akiamua anaweza kabisa kubadili mwelekeo wa Nchi hii and no body can stop him.

So, uwezo anao, Swali muhimu ni kuwa: Je, anayo dhamira ya kweli?

Peace & Love.

Respect
 
  • Thanks
Reactions: Ame
TAARIFA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA EL

MAPACHA WATATU EL,AC NA RA ,WAMEKUWA WAKIFANYA VIKAO KWA SKYPE TOKEA TAMKO LA CHAMA LA KUTAKA WAACHIE NAFASI ZAO,MPASHAJI ANASEMA MAPACHA HAO WAMEKUWA WAKIFANYA ONLINE MEETING KILA SIKU KWA ZAIDI YA MASAA SABA KWA KUTUMIA SKYPE KWANI WAMEKUBALIANA WASIKAE PAMOJA KUTOKANA NA TISHIO LA KUWAUA AMBALO MMOJA WAO ALILINASA KUTOKA KWA SHUSHUSHU WAKE AMBAYE NI MMOJA WA VIONGOZI WA VIJANA WA CHAMA CHA MAGAMBA ALIYEWEKWA KWENYE MPANGO HUO NA CHAMA HICHO CHA MAGAMBA

MY TAKE;hawa mapacha wanajipanga kujibu mapigo na kuufutilia mbali utawala wa JK;;,UWEZO WANAO,SABABU WANAZO NA NGUVU WANAYO.

NGOMA INOGILE,VITA VYA PANZI KUNGURU TWALAAAA

It took so long for this to happen ...

..we need resonable conflict like this before the true peace preveil!!
 
Kamanda Meddie;

Time will tell. Stay tuned. Mimi si shabiki wa JK lakini kama amedhamiria hakuna chakuwa na Brain wala nini. Muulize Mugabe, Muulize Kibaki walivyofanya nk. wana Brain gani hawa?

Usicheze na Urais as an Institution na kama alieshikilia nafasi hiyo anakusudia kufanya kitu.

Hata kama Triangle Twins wamewanunua watendaji, lakini head wa Instutution za dola bado ni wateule wa JK na ndo wenye nguvu. Unless hao Triangle Twins wanataka kufanya Uhaini.

  1. EL anajua
  2. RA anajua
  3. AC anajua
  4. Mafisadi wengine pia wanajua
Kama JK akiamua anaweza kabisa kubadili mwelekeo wa Nchi hii and no body can stop him.

So, uwezo anao, Swali muhimu ni kuwa: Je, anayo dhamira ya kweli?

Peace & Love.

Respect
Angalia kwenye red, hao heads inasemekana walikuwa wanawekwa na hao traingle kama PCCB nk.
 
Tatizi la CCM haliletwi na watu watatu hata wakiwatoa haitasaidia badala yake watazidisha mpasuko, tatizo ni kuiacha misingi waliyojiwekea kuwa CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi (wanyonge), mfano kuvunja maazimio ya azimio la Arusha CCM ilipo sasa chama kumilikiwa na wafanyabiashara ni matokeo ya ukengeufu huo. Kinachotakiwa CCM si kuwatimua tu mafisadi bali kukipeleka chama chini kwenye ground level kwa wenye chama wanachama wa kawaida kwa mfano wao pia washiriki kuchagua wajumbe wa NEC si kuteuliwa nk.

Nakubaliana na wewe lakini mfano tulionao kwenye attitude ya watanzania ni mbaya mno. Baada kuwa wajibisha hao visible fisadis then kila mtu ataona kuna cost ya kutokuwa moral hata kama system ni mbovu hiyo tu ni somo kubwa kwa future fisadis. Alafu then waendelee kwenye stage nyingine yakurudisha chama chao kwenye Ideology ya azimio la Arusha kama wanaona ina faa na kama vipi basi watajifunza through process huku sisi wengine ambao hatujawahi kuwa watawala tukishika usukani wengine waonje na mapishi yetu tofauti na CCM.
 
Angalia kwenye red, hao heads inasemekana walikuwa wanawekwa na hao traingle kama PCCB nk.

Mkuu kama kuna ukweli kwenye madai yako then it may take JK less than a day kufanya mabadiliko na hakuna wa kumwuuliza. Umeona yaliyotokea CC na hakuna aliyeuliza. wote waliufyata. Itakuwa akitumia kofia yake ya urais? Nahi head wa Institution atakayefurukuta mbele ya Mteule?

  1. TPDF?
  2. Prisons?
  3. Police Force?
  4. PCCB?
  5. State Intelligence?

Watu wanaongelea mambo ya siasa tu, lakini kama jamaa akiamua kufanya kweli, who will stand? Kwa nguvu gani aliyonayo?

Kwa nini Wamarekani vibopa wameufyata kwa Bwana Mdogo Oboma the Black President hata kama wana nguvu zao za pesa?

Peace & Love

Respect
 
Mkuu;

Dont underestimate the power oj JK as a President. He is Command In Chief of the Armed Forces na kuna sheria zinampa nguvu ya ajabu mbali ya katiba.

Kama JK amedhamiria hakuna wa kumsimamisha. Take it from me or leave it.

Na nyeti tulizonazo ambazo tulizipata kabla hata ya CC na NEC ni kuwa JK amedhamiria come whatever may lazima EL atoswe tu maana amemchezea shere.

RA na AC hawana kitu. In fact RA si tishio kabisa kwa kuwa anaweza hata kufukuzwa Nchi na uraia wake wa kuchonga. AC ana pesa gani wakuu? hiyo 1 Billion +?

Peace and Love.

Respect.

MKUU
pona ya jk ni hawa mapacha kukaa kimya.........lakini wakithubutu kusela lolote dhidi yake atakwisha.......halafu amini kuwa jk kwa hawa jama a wawili aziz na edward hana la kusema......angekuwa chenge, na wengine nakwambia siku hiyo hiyo angewatimua chamani.....

NB: unajua nini kinajili kati yake na hawa twin wawili ? (RA na EL).....

 
MKUU
pona ya jk ni hawa mapacha kukaa kimya.........lakini wakithubutu kusela lolote dhidi yake atakwisha.......halafu amini kuwa jk kwa hawa jama a wawili aziz na edward hana la kusema......angekuwa chenge, na wengine nakwambia siku hiyo hiyo angewatimua chamani.....

NB: unajua nini kinajili kati yake na hawa twin wawili ? (RA na EL).....


Kamanda Edson;

Let us wait and see, time will tell.

Nape ni Mpinzani asilia wa Mafisadi hasa EL. Sasa jiulize kwa nini JK alimweka Nape na dogo huyu anawabomoa bila huruma kila kukicha na babu yao Mukama anawapa Chagizo?

Hii ni Ngoma ya wakubwa Mkuu, tusubiri dakika 90. I tend to believe JK atawatosa na asipowatosa CCM inakufa na tai shingoni.

Peace & Love.

Respect.
 
Mh.TENDWA cdm walikutahadharisha hawa watu wa ccm ni wezi ukagoma,leo hii wametajana wenyewe! Pia Takukuru mnaagiza na umma mkafike ccm HQ mkawakamate watuhumiwa na kuwafikisha mahakamani. Ni sehemu ya kazi yenu.
 
Kamanda Meddie;

Time will tell. Stay tuned. Mimi si shabiki wa JK lakini kama amedhamiria hakuna chakuwa na Brain wala nini. Muulize Mugabe, Muulize Kibaki walivyofanya nk. wana Brain gani hawa?

Usicheze na Urais as an Institution na kama alieshikilia nafasi hiyo anakusudia kufanya kitu.

Hata kama Triangle Twins wamewanunua watendaji, lakini head wa Instutution za dola bado ni wateule wa JK na ndo wenye nguvu. Unless hao Triangle Twins wanataka kufanya Uhaini.

  1. EL anajua
  2. RA anajua
  3. AC anajua
  4. Mafisadi wengine pia wanajua
Kama JK akiamua anaweza kabisa kubadili mwelekeo wa Nchi hii and no body can stop him.

So, uwezo anao, Swali muhimu ni kuwa: Je, anayo dhamira ya kweli?

Peace & Love.

Respect

hapo kwenye green hapo ndo penyewe.........hawezi ndo maana nasema hawezi......ikitokea hivyo may be na yeye awe nje..hapo upepo wa nchi utabadilika......hawa kina RACHEL nouma

 
CCM wasiwabambike mzigo wa lawama RA, EL na Chenge. Ni lazima watafute chanzo cha tatizo ni nini bila kuona uvivu wa kufikiri.
Kwa upande wangu naona tatizo kubwa lililowafikisha hapo walipo ni kuliacha azimio la Arusha na kuanzisha azimio la Zanzibar. Karibu viongozi wengi ndani ya CCM walitumia madaraka yao katika kufanya biashara na kujilimbikizia mali kitu ambacho ni mwiko katika azimio la Arusha.
Sasa kwanini lawama zote ziwaende hawa watu watatu na wala si kwa CCM yote?. CCM ilibariki viongozi kujishughulisha na biashara. Ni sawa na mtu umevaa nguo zako bila ya kubadilisha kwa muda wa mwezi mzima, leo unavua na kubadilisha shati tu lakini soksi, chupi, suruali ni zilezile. CCM yote ni chafu hivyo inatakiwa kuondoka madarakani.


That is why we need AZIMIO JIPYA!!
 
Back
Top Bottom