Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 858
- 252
Inafika sehemu nashindwa kuelewa. Mara ya kwanza nilijua kuwa ccm wanafanya makusudi wanayoyafanya kumbe kichwani 0000 ziro. Sasa mmemsafisha mtu vizuri na kwenye kamati ya bunge ni kiongozi wa kamati nyeti. Alafu sasa mnamzingua Mzee Lowassa eti mnampa siku 90 kwa nini hamkufanya zengwe kama kawaida yenu mapema. Kama mlivyomfanyia Samwel Sitta wa nguvu mkamuweka Bi. Kiroboto ambaye sasa hivi anachanganya madesa tu bungeni. Yaani hata kama anatuhumiwa si vyema mkamdhalilisha kiasi hiki. Kwanza umemtangaza kwamba yeye ni safi, Pili mmemkabidhi kamati nyeti ndani ya bunge, Tatu mmevunja sekretariet mkamwondoa, nne huyo Manape manauyee anawazalilisha live, sas ndo nashangaa. Kwa nini hamkuwaaambia wafanye kimya kimya mpaka muwafanye hivyo mbele ya umati. Naanza kukumbuka statement moja kwenye History kuwa 'You are planting the root of your own destruction" Chiligati alikiri kuwa CCM inaambiwa ufisadi, EPA , sijui nini lakini haina ushahidi, sasa ngoja ushahidi ukitolewa na hao mapacha watatu watakapoonesha nani alichota mkwanja wa Kagoda, n.k. Japo ni sherehe ila nimjuavyo mzee Lowassa sasa hivi yuko anasema "nyie sawa tuuuu" "mtaona tuuu eheeeeeeee" kama mtoto aliyenyimwa bajia na wenzake na siku akipata na yeye bajia atalipiza kisasi ile mbaya' ngoja tuone.
CCM haina uwezo wa kumzingua Lowasa wala Rostam wakithubutu ujue ndio mwisho wao.
Dah!walipo ifikisha CCM kwakweli inatia huruma .............''Kikwete komaa nao ulinde heshima''.