Hahahahahaaaa siasa za bongo raha kweli aisee. Sasa hawa jamaa wanaitwa triplets kama wale akina Khalid Chokoraa na wenzake.....
Bongo noma mm nikataka kumpalamia mtoa mada kwamba heading inaonekana imekaa kiburudani kama si kimuziki how come anaiweka kwenye siasa? Niliposoma nikagundua mm ndio nina makosa.
Anyway, mimi ninakubaliana 100% na wanaosema jk hana jeuri ya kuwatosa hao mapacha wa3. Hili liko so obvious hata kama hufuatilii sana siasa za bongo hutalipinga hilo. Kuwatosa mapacha wa3 kwa jk ni sawa kabisa na kuvaa bomu kujilipua kitu ambacho hajawahi kufanya na hatakuja kufanya hata siku moja.Huo mshipa hakuumbwa nao bahati mbaya.