THINKINGBEING
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 2,779
- 1,304
Mhimili wa uovu umeguswa.acha wajiue wenyewe.
TAARIFA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA EL
MAPACHA WATATU EL,AC NA RA ,WAMEKUWA WAKIFANYA VIKAO KWA SKYPE TOKEA TAMKO LA CHAMA LA KUTAKA WAACHIE NAFASI ZAO,MPASHAJI ANASEMA MAPACHA HAO WAMEKUWA WAKIFANYA ONLINE MEETING KILA SIKU KWA ZAIDI YA MASAA SABA KWA KUTUMIA SKYPE KWANI WAMEKUBALIANA WASIKAE PAMOJA KUTOKANA NA TISHIO LA KUWAUA AMBALO MMOJA WAO ALILINASA KUTOKA KWA SHUSHUSHU WAKE AMBAYE NI MMOJA WA VIONGOZI WA VIJANA WA CHAMA CHA MAGAMBA ALIYEWEKWA KWENYE MPANGO HUO NA CHAMA HICHO CHA MAGAMBA
MY TAKE;hawa mapacha wanajipanga kujibu mapigo na kuufutilia mbali utawala wa JK;;,UWEZO WANAO,SABABU WANAZO NA NGUVU WANAYO.
NGOMA INOGILE,VITA VYA PANZI KUNGURU TWALAAAA
Hatoswi mtu hapo, Jakaya ni tunda la kazi za Lowassa na Rostam; bila ya hao wawili hakuna Kikwete wala Rais wa Tanzania!! Hawa jamaa wana uwezo wa kuingusha serikali ya Tanzania na hili lilikwishathibitishwa na Pinda bungeni aliposema kuwa anawaogopa hawa mafisadi kwani wana uwezo wa kuiyumbisha nchi!! Watch out those are words from the PM uttered in parliament!
nakumbuka sentensi ya kwanza JK alipoingia madarakani alisema URAIS HAUNA UBIA!
BANGE NA HAKA KAMVUA INAPANDA SANA
enjoy
jk akae macho hawa jamaa sio mcheo
ra,el na ac mmmh naona ni muziki mkubwa sana na nahisi hawa ndio role mode wa chama cha mapinduzi hasa kwa karne hii
Iwe bojo, Ta Muganyizi,waitu kinyakyusa na wewe wapi na wapi?Ebwanaeeeeeeeeeeeeeeee.,,, Mweeeeeeeeeeeeeeeeeeee ngoja nishangae Kinyakyusaaaaaaaa, mwemwemwemwmemwmemwmemwmemwe.
Wawaue wengine lakini sio E.L
From Boys II Men to Mapacha Watatu, haya Mramba nae kundi gani?Zakia Meghji nae? mbona yako magamba meengi tu na hawatuambii muarabu wa Dowans kalipwa au hajalipwa?
hakuna marefu yasiyo na ncha........
Mwisho wa ubaya ni aibu.........
Hao mapacha watatu.... Kiama chao kimefika.....
Masikiniii.........wanaondoka kwenye ulingo wa siasa kwa aibu kubwa........
TAARIFA KUTOKA KWA MTU WA KARIBU NA EL
MAPACHA WATATU EL,AC NA RA ,WAMEKUWA WAKIFANYA VIKAO KWA SKYPE TOKEA TAMKO LA CHAMA LA KUTAKA WAACHIE NAFASI ZAO,MPASHAJI ANASEMA MAPACHA HAO WAMEKUWA WAKIFANYA ONLINE MEETING KILA SIKU KWA ZAIDI YA MASAA SABA KWA KUTUMIA SKYPE KWANI WAMEKUBALIANA WASIKAE PAMOJA KUTOKANA NA TISHIO LA KUWAUA AMBALO MMOJA WAO ALILINASA KUTOKA KWA SHUSHUSHU WAKE AMBAYE NI MMOJA WA VIONGOZI WA VIJANA WA CHAMA CHA MAGAMBA ALIYEWEKWA KWENYE MPANGO HUO NA CHAMA HICHO CHA MAGAMBA
MY TAKE;hawa mapacha wanajipanga kujibu mapigo na kuufutilia mbali utawala wa JK;;,UWEZO WANAO,SABABU WANAZO NA NGUVU WANAYO.
NGOMA INOGILE,VITA VYA PANZI KUNGURU TWALAAAA
nakumbuka sentensi ya kwanza JK alipoingia madarakani alisema URAIS HAUNA UBIA!