Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Umenena vyema great thinker!
Ni kweli ana nguvu sana; kwa wanaomuamini. Ni kama nguvu ya mganga wa kienyeji hivi. Mganga wa kienyeji anaweza kuwapa watu sababu ya kufuata masharti yake na kumsikiliza lakini nguvu ya dawa zake na maagizo yake yanategemea tu kama watu wanamuamini. Lakini usipomwamini yote anayoyafanya yanaonekana kama vichekesho fulani hivi. Fikiria wakati watu wengine wanaogopa kuchukua kibuyu kilichozungushwa hirizi kwa sababu wanaogopa anakuja mtu mwngine anachukua na kunywa maji kwa sababu alikuwa na kiu!