What happened mkuu?
Back to the topic, labda kama EL ana nguvu ndani ya chama, then pengine naweza kukubaliana na Pasco kwasababu chama ndo kinachoshika hatamu.
What happened mkuu?
Back to the topic, labda kama EL ana nguvu ndani ya chama, then pengine naweza kukubaliana na Pasco kwasababu chama ndo kinachoshika hatamu.
Tusubiri majibu ya Pasco et al'
Hakika mwenye nguvu ni aliye madarakani mwenye uamuzi wa kuamua hatima ya mwenzie!!! sas huo kuwa EL anacapabilities na command zipi au hiyo mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ambayo ni mwenye akili kacheza mchezo wa mchawi mpe mwana aleehe.
Ni kweli hakuna mantiki, unless JK angekuwa na mpango wa kugombea tena, maybe tungezungumzia how electable is he vs JK,mtoa mada ananiacha hoi sana.
Hili swali ni sawa na kukutana na mtu ambaye hamjaonana siku nyingi afu anakuambia neno la kwanza tu 'mie na mke wangu hatujagombana'
maswali ya aina hii huwa na maana ya 'niokoeni, ndoa haiendi tena'
sasa hawa tunaowapambanisha hapa sjui ni kwa mantiki gani.
umetumwa na nani weweWanabodi,
Nimekaa mahali jioni na watu fulani, baada ya mazungumzo haya na yale, jina la EL likaibuka, ikaelezwa kuwa EL is more powerful than JK and that no one can do anything to him. He command highest respect and he is very powerful such that he is untouchable!. Jee ni kweli EL ni stronger, more capable na more powerful than JK?.
NB. Hapa naulizia kuhusu power comand na capabilities, hatuzungumzii issues za ufisadi. Kama hujui lolote kuhusu power, command na capabilities naomba usichangie!.
Pasco.
cmd ndio nini mkuu?Hivi nani ana nguvu ndani ya cmd ?
Mbowe au slaa .