Ni kweli ana nguvu sana; kwa wanaomuamini. Ni kama nguvu ya mganga wa kienyeji hivi. Mganga wa kienyeji anaweza kuwapa watu sababu ya kufuata masharti yake na kumsikiliza lakini nguvu ya dawa zake na maagizo yake yanategemea tu kama watu wanamuamini. Lakini usipomwamini yote anayoyafanya yanaonekana kama vichekesho fulani hivi. Fikiria wakati watu wengine wanaogopa kuchukua kibuyu kilichozungushwa hirizi kwa sababu wanaogopa anakuja mtu mwngine anachukua na kunywa maji kwa sababu alikuwa na kiu!
LOWASSA LOWASA, EL, nakuunga mkono watu wanaomshabikia sio wanaomjua subirini mwaka huu ndio uchaguzi wa NEC na CC km atapita ndio mjue ana nguvu kuliko JKWatanzania wanapenda ushabiki wa kijingajinga na ndio maana watu kama Lowasa wanaendelea kupeta. Watu walikuwa wanamsifia Mobutu na akaondolewa na askari wenye kandambili.
Wanabodi,
Nimekaa mahali jioni na watu fulani, baada ya mazungumzo haya na yale, jina la EL likaibuka, ikaelezwa kuwa EL is more powerful than JK and that no one can do anything to him. He command highest respect and he is very powerful such that he is untouchable!. Jee ni kweli EL ni stronger, more capable na more powerful than JK?.
NB. Hapa naulizia kuhusu power comand na capabilities, hatuzungumzii issues za ufisadi. Kama hujui lolote kuhusu power, command na capabilities naomba usichangie!.
Pasco.
Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye RED ni mtandao wa majambazi wepi aliofanikwa kuuvunja!!??.....kweli watanzania sie wapuuzi, mmesema jk hakuwa mshindi halali leo hii ni rais kuonyesha anakila kitu yaani yeye ni amirijeshi mkuu wa tanzania, rais aliyefanikiwa kuuvunja mtandao wa majambazi tz anafananishwa na el huu ni upuuzi mtupu
JK has power but he dont know how to use it while EL does have power but when he had it he knew how to exercise it, however he is the informal leader because of the grounds he build when he was a PM. JK is trying to be more infuential than relying on power he has but the problem is that he dont have the followers who believe in him or he dont have the grounds for leadership.
By definition; Power is the ability or opportunity to do something or to act(Oxford Advanced Learners Dictionary 5th Edition 1995.
By this definition EL is powerful compared to JK because he is out of the system but still he can be able to act or make others to act.
Mtu powerful namna hii alikujaje kushindwa uchaguzi?.Wanabodi,
Nimekaa mahali jioni na watu fulani, baada ya mazungumzo haya na yale, jina la EL likaibuka, ikaelezwa kuwa EL is more powerful than JK and that no one can do anything to him. He command highest respect and he is very powerful such that he is untouchable!. Jee ni kweli EL ni stronger, more capable na more powerful than JK?.
Pasco.