Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,157
- 10,828
Lowassa ni kama sewarage system. Hata uisafisheje!
looser!
Lowassa ni kama sewarage system. Hata uisafisheje!
Sijui ni aina gani ya ufunuo na hekima ulizonazo kama umeshindwa kutambua hata hili lililo wazi kabisa. Nyaraka za Brela zimewekwa hapa kama kielelezo cha kuthibitisha kwamba EL ni mmiliki wa kampuni ya Barare na kwamba uhamishaji wa fedha umefanywa na familia ya EL. Sasa je, ni biashara gani anayofanya inayoweza kumpa turnover ya 8 bilionInvisible, is this an evidence that Lowassa is Fisadi? Nikienda Brela nitapata majina yenu wote mnaomiliki JF, does it make you Fisadi kwa kumiliki JF. Jibu ni hapana.
Ningefarijika sana kama tungeenda kwenye sheria za nchi na kujiuliza Barare wanalipa kodi? je wameajiri watanzania wangapi? mtaji wa kuanzisha kampuni ulitoka wapi? Kisha tuweke ushahidi unaoonyesha kuwa mtaji ulipatikana kwa wizi, udanganyifu au njia isiyo halali......
Sijui ni aina gani ya ufunuo na hekima ulizonazo kama umeshindwa kutambua hata hili lililo wazi kabisa. Nyaraka za Brela zimewekwa hapa kama kielelezo cha kuthibitisha kwamba EL ni mmiliki wa kampuni ya Barare na kwamba uhamishaji wa fedha umefanywa na familia ya EL. Sasa je, ni biashara gani anayofanya inayoweza kumpa turnover ya 8 bilion
Kwa mwezi kama si biashara haramu na mavuno ya matumizi yake ya madaraka?
Pata ufunuo huu ukusaidie!
Dili anaaza kupiga akiwa mwana-chuo angalia watu wanavyo jaza fomu za mikopo....serikali inamlipia na wazazi wake wana mlipia.Tehe tehe tehe, yetu macho bana. Jambo la msingi nchi hii kwa sasa haina msafi hata mwanafunzi akitoka chuo na kupata kazi anawaza kupiga dili na kuingiza fedha fasta, iwapo atakwama atatafuta pori jingine la kuvuna. Ila kasi ya vigogo kwenda kisutu inatupa somo.
ni nani atakaye mfunga paka kengele? Lowassa ana nguvu, na ameiweka serikali yote mfukoni mwake.You don't need Hosea's boys to prove this dude is guilty of corruption...I think things have gone too far, Lowassa should join Mramba and others in court...
Good job invisible!
Hata mimi hii subjectivity ya watz inanipa hofu sana. Matajiri wenye makampuni makubwa tu na wamewekeza hadi nje ya nchi, tunaambiwa WAFANYABIASHARA. Wengine wakifanya hivyo wanaitwa MAFISADI. Tuache ushabiki na uvivu wa kufikiri
Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...
Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA
Lowasa ni fisadi na mwizi full stop. Ana pesa zetu nyingi sana huko Uswisi. Urafiki wake na RA ulikuwa ni wa kuiibia tu hii nchi. Huyu mzee wa majenereta ni balaa, hafai hata kidogo.