Use a proper keyhow do i open it?
Haya mambo tusubiri tuone, maana hiyo kampuni ya Integrated ni ya Wasomali ambao ni matajiri sana wana kampuni makubwa nje, lakini hebu tuangalie siri ya biashara za Wasomali kushamiri kwa kasi katika miji ya Dar es Salaam na Mombasa na hali ya sasa ilivyo, je Usalama wetu uko wapi?
Naambiwa hawa Intergrated wanannua majumba ya watu na viwanja kwa fujo maeneo ya Kurasini karibu na bandari yetu, je, watu wa TISS mpo? munalijua hilo maana hata watu nyeti wamelazimika kuuza nyumba zao huko maana jamaa wanatoa Cash kwa bei utakayo wewe
Msomali mmoja wikipedia inasema hivi kuhusu yeye Omar A. Ali - Wikipedia, the free encyclopedia
In 2009, Omar together with his business partner Suleiman A. Dualeh entered an agreement with Shelter Afrique that will see their corporation Integrated Property Investments Ltd take on an ambitious housing project worth $624 million USD in Dar es Salaam, Tanzania known as the Bahari Beach satellite town.[4]
Alafu kwa hela alizona nazo, badala ya kumrithisha mwanae elimu, uadilifu anamrithisha ufisadi. Hivi Huyo kijana wake tutegemee nini 'akishakomaa' kwenye hiyo tasnia... Tanzania itapona kweli!?