Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Lowassa ni msafi, Lakini kuna kitu hiki...

Naamini watu mtaweza kukipakua na kutoa maoni yenu...

Kumbuka: Nyaraka hizi ni za SIRI KUBWA

You have done a commendable job to get the info and supporting evidences. We are also requesting the missing documents for the other companies.
Big up Invisible
 
sasa naanza kuamini kwa 100% habari za Riziwani kujipatia mali nyingi sana
 
Lowasa, Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya ulinzi na usalama, mbunge wa Monduli, waziri mkuu mstaafu, kiongozi mkuu wa kabila la wamasai (kama ni kweli), mgombea urais mtarajiwa wa CCM (ukifanikiwa) na vyeo vyote vingine ulivyonavyo, sisi vijana wazalendo wa taifa hili TUNAKUOMBA kwa upole kabisa utuachie nchi yetu imetosha sasa.

Wewe mwenyewe umeona na umekubali kuwa kilichomuondoa Mubarak ni ulafi. Nadhani wakati unatoa kauli zako nyingi katika kipindi hiki cha karibuni na kuonyesha kuwa u-mzalendo ulikuwa unadhani kuwa sisi Watanzania tuliowengi hatujui ya kwako yaliyo nyuma ya pazi kwa kujaribu kutuaminisha kuwa magazeti yana lengo baya tu la kukuchafulia jina lako na la familia yako kwa ujumla, lakini sasa mambo yote hadharani.

Kwa vielelezo hivi inaonesha fika kuwa wewe karama yako ni biashara na sio siasa, lakini ni ukweli usiopingika kuwa asilimia kubwa ya mtaji wako wa biashara ilikuwa madaraka na dhamana uliyopewa kutuwakilisha katika ngazi mbalimbali za uongozi cha ajabu ukajimilikisha na kujinufaisha wewe na familia yako (ipo haja ya kurudisha miiko ya Azimio la Arusha).

Nilianza kwa kukuomba nikiamini kwa kuwa una mvi nyingi utakuwa umejawa busara na hekima nyingi pia, ila ukipuuza haya damu yetu itamwagika kwa ajili yako kama ilivyokuwa kwa watu wa aina yako (Mubarak). Imetosha uliyotufanyia na uturudishie dividends maana biashara zote umefanya kwa mtaji wetu, usisubiri tuje kudai kwa nguvu maana kizazi chako kitakuja kutuchukia.

Naamini unasoma haya au una wakala wako humu pia atakufikishia ujumbe na kilio cha taifa hili maana nafahamu kuwa una mkono mrefu sana (dola).
 
Mkuu, Thanks
Hawa jamaa na JK wana siri kubwa sana. Sababu ya kutumia nguvu ya ziada kumsimika Meya wa Arusha , ni kuzuia uozo wao hapo jijini hauonekani. Huyo Meya ni mbadhirifu balaa, na pia walikuwa na mpango wa kutaifisha eneo lote la Kijenge wajenge hotels za kisasa. Hii ndiyo ilikuwa sababu ya kulazimisha Batilda achukue ubunge Arusha. Na hasira hiyo, ndo iliwafanya wana Arusha wamkatae yule mama kwa nguvu zao zote...

Tunafuatilia ramani ya Hotel ya Kempinsk iliyotakiwa kujengwa Kijenge, ikiunganishwa na eneo la Saba Saba Hotel, na Philips......

jamani usiseme hivyo tusije tukavunjiwa kinyumba chetu kijenge, baba yangu ataenda wapi?
 
jamani usiseme hivyo tusije tukavunjiwa kinyumba chetu kijenge, baba yangu ataenda wapi?

Pole Joyceline, lakini mie nilliona hiyo ramani kabla ya uchaguzi, na ilikuwa inaunganisha Hotel 77 na kijenge ya juu mpaka mlima Kijenge. Hivyo watu wangelipwa fidia na kupelekwa nje ya mji kama kula Gomba Estate....Kumbuka pia kuwa Batilda alikuwa Waziri wa Mazingira, na angeweza kuendelea na wadhifa wake kama angechaguliwa.Sasa hapo ndo angekuja na mipango ya "kiafya" na angefanikisha hilo kilaini!!!
 
Pole Joyceline, lakini mie nilliona hiyo ramani kabla ya uchaguzi, na ilikuwa inaunganisha Hotel 77 na kijenge ya juu mpaka mlima Kijenge. Hivyo watu wangelipwa fidia na kupelekwa nje ya mji kama kula Gomba Estate....Kumbuka pia kuwa Batilda alikuwa Waziri wa Mazingira, na angeweza kuendelea na wadhifa wake kama angechaguliwa.Sasa hapo ndo angekuja na mipango ya "kiafya" na angefanikisha hilo kilaini!!!
Iko wapi hiyo ramani mkuu
 
Lowassa nifisadi mnafiki mwizi mkubwa yule mzee tungekua na viongozi bora wa kitaifa angekua kaisha potweza zamani pamoja na kizazi chake chote ni mtu hatari sana wakuogopa kama chatu
 
Lowassa nifisadi mnafiki mwizi mkubwa yule mzee tungekua na viongozi bora wa kitaifa angekua kaisha potweza zamani pamoja na kizazi chake chote ni mtu hatari sana wakuogopa kama chatu
Kwani chatu anaogopwa siku hizi?
Mbona watu wanacheza naye dance ?
 
Kunaweza kuwa na connection ya wasomali hawa na wale alshabab walioripotiwa kuandaa mauaji ya Mwakyembe yaliayandikwa na mwanahalisi la jumatano ilipita ambapo ilidaiwa Fredreck Lowasa aliwapelekea mbuzi
 
Mwanasiaa kama lowasa hawezi kukoka majibu mepesi ambayo wasipenda kujiuliza maswali magumu watakubali

  • Losawa atasema mimi naonewa sababu ni mmasai wanataka tusus wamasai tufuge ng'ombe tu tusiwe na mali. Hapa wamsai wasiokuwa na akili waote watajivutaupande wa Lowasa
  • Lowasa atasema naandamwa sababu sio Mkatoliki. Hapa vichwa vyepesi mabyo navyo sio wakataloki vitakubali na vitaamini. Wamuulize mbona hata mkapa kaandamwa walau kafanya maigizo ya kurudisha ile kiwanda cha.....
  • Lowasaatasema wanaochafua kwa maslahi ya kisaisia na mbio za kuelekea 2015 nakuwa yeye ni safi. Atawaomba wana ccm washikamane na na wawe kitu kimoja dhidi ya wapinzani.
Trough loopo hole za CCM, Through DINI, through loophole za Kikabila. Nitashangaa kuona Lowasa anakuwa president wangu lakini nitashangaana kuskitika zaidi kuona anakuwa jap mgombea wa urais kwa ticket ya CCM


Wazungu walishindwa kukaba chenge sababu walijua yataibuk mengikuhusu BAE jambo ambalo hawakutaka na sisi tukadhani chenge hana hatia

Kwa hili sababu hawana maslahi yao nadhani watakaba mpaka penati. Tusubiri tuone.
 
Mwanasiaa kama lowasa hawezi kukoka majibu mepesi ambayo wasipenda kujiuliza maswali magumu watakubali

  • Losawa atasema mimi naonewa sababu ni mmasai wanataka tusus wamasai tufuge ng'ombe tu tusiwe na mali. Hapa wamsai wasiokuwa na akili waote watajivutaupande wa Lowasa
  • Lowasa atasema naandamwa sababu sio Mkatoliki. Hapa vichwa vyepesi mabyo navyo sio wakataloki vitakubali na vitaamini. Wamuulize mbona hata mkapa kaandamwa walau kafanya maigizo ya kurudisha ile kiwanda cha.....
  • Lowasaatasema wanaochafua kwa maslahi ya kisaisia na mbio za kuelekea 2015 nakuwa yeye ni safi. Atawaomba wana ccm washikamane na na wawe kitu kimoja dhidi ya wapinzani.
Trough loopo hole za CCM, Through DINI, through loophole za Kikabila. Nitashangaa kuona Lowasa anakuwa president wangu lakini nitashangaana kuskitika zaidi kuona anakuwa jap mgombea wa urais kwa ticket ya CCM


Wazungu walishindwa kukaba chenge sababu walijua yataibuk mengikuhusu BAE jambo ambalo hawakutaka na sisi tukadhani chenge hana hatia

Kwa hili sababu hawana maslahi yao nadhani watakaba mpaka penati. Tusubiri tuone.
Kuchukua form anaweza akachukuwa kwa kuwa ni wajibu wa Kila mwanachama lakini urais hawezi kupata.
 
wakuu sijapata point naona mnajikanyaga tu.
leteni hoja mana hapa hamna kitu. kama hamna research basi bora tunyamaze kimya na mumuachew mzee wa watu apumzike kwa salama. mengine yajayo mungu ndie mjuzi
 
Watanzania,wabongo,Watanganyika,ndugu zangu chondechonde,mkimpa Urais huyo Mmeru anayejifanya Mmasai mmekwisha kwa maana haya ya Jakaya myaonayo ni trailer tu,picha lenyewe Lowassa akiwa rais!
 
Huyu hafai ni kama kansa inayotafuna hadi kifo kwa uchu wake wa madaraka ya kutaka kuuwa watu wa watu.Akitaka Urais wa Tanzania amfufue Baba wa Taifa ili abadilishe kauli yake juu yake kwani alikwisha kumlaani na hayati Kawawa alishindwa kuwapatanisha kwani Mwalimu alimtaka ili amsafishe akauze mali zote alizonazo na agawe kwa masikini ikawa ile ya tajiri na tundu la sindano.Sasa anataka awaue wapinzani wake ili awe Rais "Shame on him".
 
Watanzania,wabongo,Watanganyika,ndugu zangu chondechonde,mkimpa Urais huyo Mmeru anayejifanya Mmasai mmekwisha kwa maana haya ya Jakaya myaonayo ni trailer tu,picha lenyewe Lowassa akiwa rais!
Umenena ndugu huyo jamaa hafai ana roho mbaya na visasi hakuna mfano. Na kama JK ndio anamuandaa kisirisiri ataangukia pua.
 
Back
Top Bottom