Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

No baada ya kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura.
Ndugu Edward Lowassa amewataka madiwani wote wa CCM kutochukua fomu za kuwania cheo hiko mpaka hapo yeye atakapotangaza maamuzi yake binafsi.
 
kituko 5.jpg
 
Hao wamasai bure kabisa Ndossy kawafanya mifugo hawana tofauti na Ng'ombe.
 
lakini muwe mnaleta na vyanzo vya habari. Siku hizi post nyingi sana humu JF, hasa za kisiasa, zinapostiwa tu pasipo kuwa na udhibitisho wowote ule, mwisho hudhihirika kuwa hazina ukweli. Au siku hizi ukipost thread kuna zawadi unapata? Mkuu Davesto tafadhali tupe chanzo cha habari yako hii
 
Last edited by a moderator:
Watu wengine wa ajabu sana.

Hivi yeye anajiona yupo juu ya Dr Bilal, Pinda na Mwandosya ambao pia hawakufika tano bora?

Urais atafute sehemu nyingine. Kuna Rais wa TFF siku hizi, kuna Rais wa club ya Simba. Anaweza kuanziasha ka NGO kule Monduli akawa Rais. Maana inaelekea tatizo ni kuitwa Rais! Atakuwa Mheshimiwa Laigwanani Rais wa Monduli Development Foundation.... teh teh!
 
Mkuu sophia alikuwepo tangu airport terminal 1 mpaka zakhem mbagala,
 
Hivi kuna watu walisema jamaa yetu aliahidi kumfichua gavana kutoka mafichoni kama angekatwa sasa ahadi imeishia wapi au ulikuwa ni uzushi?
 
Watu wengine wa ajabu sana.

Hivi yeye anajiona yupo juu ya Dr Bilal, Pinda na Mwandosya ambao pia hawakufika tano bora?

Urais atafute sehemu nyingine. Kuna Rais wa TFF siku hizi, kuna Rais wa club ya Simba. Anaweza kuanziasha ka NGO kule Monduli akawa Rais. Maana inaelekea tatizo ni kuitwa Rais! Atakuwa Mheshimiwa Laigwanani Rais wa Monduli Development Foundation.... teh teh!

Imekuwa ni jadi sasa kwa Watanzania kuwa na tatizo la kusahau namna siasa za CCM zilivyo hapa nchini. Mwaka 2005 Rais wa sasa Kupitia C CM Kikwete alionekana kuwa chaguo sahihi na baadhi ya watu na viongozi wa kidini walisema alikuwa ni chaguo la Mungu!

Lakini utendaji wake na hasa katika kushughulikia matatizo ya wananchi ya moja kwa moja haukuwaridhisha wananchi wengi na baadhi wanasema kheri aondoke mapema. Leo naona amekuja Dr. Magufuli
ghafla Watanzania naona wamesahau taabu na suluba zilizosababishwa na uongozi wa chama kile kile cha CCM. Sasa watu wameanza tena kuweka matumaini ya ukombozi mpya wa kiuchumi na tofauti za kitabaka utakaoletwa na Dr.Magufuli.

Ni muhimu tukajiuliza ni njia zipi mpya ambazo Dr.Magufuli atatokea ambazo wenzake hawakuzipitia? Wakati wananchi tukiendelea kupigika ndani ya utawala wa CCM, Dr.Magufuli alikuwa ni sehemu ya uongozi uliotufikisha hapa. CCM ina sera ambazo kwa sasa wanahitaji mfumo mpya wa uongozi na lazima wajifunze wakiwa nje ya uongozi ndipo wanaweza kuelewa haya tunayoyazungumza.

Ni vema watanzania tukawa na fikra za kimapinduzi ili kifanya maamuzi magumu dhidi utawala wa kimazoea na kuingiza utawala wa kisasa unaojali mahitaji na mawazo ya wananchi wa hali ya chini kuliko ilivyo sasa!
 
Nikivaa viatu vyake, naona jinsi gani alivyoumia.
Haamini kilichotokea.
Anaona bado yupo ndotoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom