Lowassa, Nchi ilipokuwa njiapanda kwanini ulikaa kimya?

Lowassa, Nchi ilipokuwa njiapanda kwanini ulikaa kimya?

lowasa anaweza kua ni kiongoz mzuri tatizo timu inayomzunguka ni yakuogopwa kama ukoma.....!!! wew hebu jiulize chenge kunadili gan limepgwa nchi hii akakosekana???? kama sio namba moja kuhusika bas atakua moja kati ya wahusika wakuu angalia rostam,karamagi,mama tibaijuka ......yan wale watu ambao wameharibu utawala awam yanne ndowameenda kujificha kwny kichaka cha lowasa wametegesha mabomba yao wanasubili awe rais ili wayachomeke waanze kuinyonya tz km kawaida yao!!!! aa hapana mm binafc hapo sielew nahao watu nawaogopa xana nawatz kwahili tuwe makin xana ......lowasa nae angejua asingeji expose nawatu wanamna hii kwamba anasaka nao urais.......
 
Siyo Lowasa tu, Wana CCM wote waliochukua form waulizwe katika hilo.... Sahihi yangu izingatiwe....
 
Mtoa mada njoo na strong solid integral issues not empty rhetoric baseless accusations based on street gossip.

Kuongea kiingereza sio kuwa na uwezo wa kujenga hoja mkuu! Alichoandika mtoa mada ni ukweli kwamba Edward hakuchangia ule mjadala popote! Iwe katiba mpya na sakata la Escrow, hakusikika akikemea popote! Ok, kwa tafsiri yangu, Edward na Chenge ni kitu kimoja hata kwenye harakati za kwenda ikulu wapo wote na pacha mwenzao Rostam! Kumbuka "mapacha" watatu. Hawa walishindikana kuvuliwa gamba na akina Nape na Mangula! Sasa unataka hoja gani labda ambayo itagusa hisia zako?!


Ina maana hata Edward kutochangia bungeni lolote kwenye mijadala mizito wewe unaita "street gossip"? Kama unaishi TZ, hujui tulipo wala tunapoelekea!!! Wake up man! Acha kuwa mtumwa wa fikra!
 
Msipotoshe watanzania mh lowassa ni kada mtiifu ndani ya ccm,hawezi kukurupuka tu akaanza kuzoza ndani ya bunge,nataka niwajuze, mh lowassa ndiye rais ajaye,hawa walio oteshwa wampishe sir eddo huko,ni yeye ni yeye ni lowassa.
 
Tunataka majibu hapa kwa nini alikaa kimya kwenye escrow? Achana na katiba mpya inajulikana alipiga kura ya wazi yeye ni serikali 2. Huu ububu ni udhaifu mkubwa sana.

Pia asiwadanganye vijana kwamba atawapa ajira muongo mkubwa huyu, atawapa ajira anaviwanda vyake ulaya au china? Tuseme ukweli tusidanganyane.

Tunataka rais atakae kemea rushwa na kusimamia rasilimali zetu na kukuza uchumi. Lowassa wambia ukweli vijana wa vyuo vikuu wasome wapate elimu ili watumia elimu yao kubuni ajira kama anavyofanya Dr mengi.

Kama uwezo wa kuwapa ajira vijana unao, ulishindwa nini kumaliza madeni ya walimu ukiwa Waziri mkuu? Wito wangu kwa vijana msidanganyike na huyu msaka urais kwa pesa bali someni na kujikita kufanya tafiti za kijasiliamali ili mjiajiri wenyewe. Atakae bahatika akaajiriwa na serikali amshukuru Mungu.

Nawashukuru watu ambao wanaendelea kujitambua kama ninyi! Vijana wenye njaa na waliowatumwa kifikra ndo wanaomwelewa Edward! Mimi kwa akili yangu, siwezi kumwelewa wala kutamani kumsikiliza mwizi!!! Akili ya Edward ni ndogo sana, na kamwe siwezi ruhusu akili ndogo iniongoze! Ukitaka kujua ana akili ndogo, tazama jinsi anavyoongopea watu wazima!
 
Hana usafi wowote. 'Chema hujiuza, kibaya hujitembeza'.......Shaaban Robert.
 
Chademakwanza

Bora umemsema wewe lakini mbona inajulikana kuwa alikuwa nyuma ya Kila kilichofanywa na UKAWA.
 
Last edited by a moderator:
Lowassa baada ya Sakata la Richmond kawa bubu bungeni hakuna alichochangia miaka yote 10, hana tofauti na sanamu iliyopachikwa mahali...


Hana sifa yoyote ya kuwa Rais wala asipoteze hela na muda wake aende kupumzika Monduli tu maana hata Ubunge hawezi tena.
 
Ninyi wote mingombe mtoa mada na wote mnaochangia ni mazombi

Hapa ni zombie land mtaishia kuongea yataishia hewani
 
kwaiyo Chenge hajawai kuiba maana hakushitakiwa?'lowasa ni mwizi kama vibaka wengine

Kibaka ana afadhali mkuu! Edward ni jambazi na hata atembee makanisa yote hawezi kujisafisha! Ila kuna watu wanajifanya hawaoni hili. Kuna mtu anauliza eti aliwahi kufikishwa mahakama gani? Kabla ya kumpa majibu, muulize Chenge, Werema, Muhongo, Maswi na majambazi wengine waliwahi kufikishwa wapi! CCM ni mfumo na hakuna uwezekano wa kuondokana na udhalimu wao! Dawa ni moja tu, kuubadili mfumo huu uliochoka!
 
Kama kuna kitu sipendi ni shutuma za uongo, kumzulia mtu maneno yasio faa na kumkachifu jina lake bila sababu. Naomba kusema wazi kabisa, miye si shabiki wa Lowasa wala ccm. Lakini unauliza maswali ambayo nadhani usinge yaelekeza kwa Lowasa peke yake bali yaelekeze kwa watangaza nia woooooote wa ccm.
Wote walikuwa kwenye system, wote hakuna hata mmoja anayeweza akasimama akasema kuna siku moja tu alitema cheche zake popote iwe bungeni au baraza la mawaziri. Leo asemeje ati akiwa rais ndo atayafanya hayo???
Maneno yenu ni ya wapinzani, mmeamua kuyashadidiya ili tukiyasikia kutoka kwa upinzani tuone kuwa hawana hoja. Tumeshayazoea kwenu mkiongozwa na Kinana na Nape. Msihofu, kila Mtanzania anawajueni. Hamtoki Oktoba hii. Nasema kiyama hichooooo mnajitia kitanzi wenyewe na maneno yenu potofu
 
Kama kuna kitu sipendi ni shutuma za uongo, kumzulia mtu maneno yasio faa na kumkachifu jina lake bila sababu. Naomba kusema wazi kabisa, miye si shabiki wa Lowasa wala ccm. Lakini unauliza maswali ambayo nadhani usinge yaelekeza kwa Lowasa peke yake bali yaelekeze kwa watangaza nia woooooote wa ccm.
Wote walikuwa kwenye system, wote hakuna hata mmoja anayeweza akasimama akasema kuna siku moja tu alitema cheche zake popote iwe bungeni au baraza la mawaziri. Leo asemeje ati akiwa rais ndo atayafanya hayo???
Maneno yenu ni ya wapinzani, mmeamua kuyashadidiya ili tukiyasikia kutoka kwa upinzani tuone kuwa hawana hoja. Tumeshayazoea kwenu mkiongozwa na Kinana na Nape. Msihofu, kila Mtanzania anawajueni. Hamtoki Oktoba hii. Nasema kiyama hichooooo mnajitia kitanzi wenyewe na maneno yenu potofu

System mzima ya ccm Haifai
 
Mtoa mada njoo na strong solid integral issues not empty rhetoric baseless accusations based on street gossip.

Mtoa maada ameeleza vizuri sana. Lowasa hakuwahi kusema chochote wakati nchi ikipita kwenye bonde la mauti. Ni vigumu sana kumshawishi mtu mwenye akili timamu kuwa huyu ni kiongozi bora. No offence, i'm just being honest and logical. Kuna vitu vya kushabikia but not this one
 
Watz ktk kipindi hiki nchi inahitaj kiongoz shujaa,mwenye maamuz magumu na sahihi ilituweze kuvuka hapa tulipo sasa ktk watu wanaoonyesha nia zao kuongoza tz kupitia vyama mbalmbal n Lowassa pekee ndio mwenye dhamira ya dhati,uthubutu na vission ya kututoa hapa tulipo kwama,lowassa n mtekerezaji sio mbabaisha hana longolongo ktk maamuz yake naomba tumuungen mkono ktk safar hii ya matumain
 
Ni vuzuri watanzania tukajijengea utaratibu wa kufanya research kwanza and we can speak out our mind. Waingereza walisema 'no research no right to speak'
Sasa mh naomba utoe ushaidi wa hayo uliyosema hapo juu.

The obvious can not be prooved!
Yaliyo dhahiri hayawezi kuthibitishwa. Unakuta mtu ana upara halafu anatokea mtu anakwambia uthibitishe kama ana upara!
 
Why lowasa lowasa lowasa always, kwan ameshapitishwa na chama, kwan ni yeye tuu alikaa kimya bungeni kati ya hao wanaogombea urais? Tulizeni ball
 
Why lowasa lowasa lowasa always, kwan ameshapitishwa na chama, kwan ni yeye tuu alikaa kimya bungeni kati ya hao wanaogombea urais? Tulizeni ball
Ukweli utatuweka Huru
 
Back
Top Bottom