Nitajie mwizi yeyote kati ya hao vibaka wako nani Richmond? Hao wezi wameteka mpaka mahakama na polisi unategemea watathubutu kufunguliwa file?
Rejea mzee wa vijisent escrow aliwafanya nini mahakama ya maadili? Rejea mzee wa Richmond aliwafanya nini ccm walipomwambia ajivue gamba!
Mfumo unawalinda wezi na wanajuana nakwambia mwaka huu patachimbika huyo kibaka wenu mwambieni ajiandae kisaikolojia hatutampa nchi, tungekuwa tumemshawishi sisi tumpe tungempa lakini anashawishi makanisa na misikiti kwa pesa na vikundi unategemea tumpe huyu ni mwizi tu.
Nuru ya mnyonge
Hongera kwa akili za kufikirika lowassa kua Rais ni guarantee kila siku tunawaambia tuhuma za kipuuzi zisitunyime kiongozi bora 2015
Na pia kama kweli nyie ni wabobezi na mnafahamu sana LOWASSA kwanini kila siku Mnaleta tuhuma ambazo hazina hata ushahidi?
Mnadhani watanzania ni wajinga? Waache kuchagua kiongozi bora wanaemtaka kisa tuhuma za kipuuzi zisizo hata na ushahidi wala mashiko
Na Tanzania hii unapiga kura ni wewe? Tu?
Tafakari chukua hatua halafu kafabye repair ya ubongo wako