Henry Kissinger
Member
- Jun 13, 2015
- 71
- 32
Mtoa mada njoo na strong solid integral issues not empty rhetoric baseless accusations based on street gossip.
Mtoa post nafikiri bado uelewi bado utaratibu wa bungeni.Nadhani unasahau CCM as a party kilichukua a collective cohesive decision ya kuunga mkono katiba pendekezi na Mh hasingeweza kwenda kinyume na msimamo wa chama chake. Mtendaji mkuu wa shughuli za kibunge ni Prime minister, sasa ulitaka aingilie mamlaka ambayo sio yake?
alishasema yeye siyo mtu wa kusema sema sana ni vitendo tu! ulitaka afanye nn wakat hayupo kwenye mamlaka ya uamuz maswal hayo waulize akina pinda , makamba, mwigulu na membe walioko kwenye kabinet hapo lowasa unamuonea bure! waulize hao washaur wa rais!
alishasema yeye siyo mtu wa kusema sema sana ni vitendo tu! ulitaka afanye nn wakat hayupo kwenye mamlaka ya uamuz maswal hayo waulize akina pinda , makamba, mwigulu na membe walioko kwenye kabinet hapo lowasa unamuonea bure! waulize hao washaur wa rais!
Uwe unaongea kwa facts sio unaongea tu ili kumchafua mtu kisa hana mpinzani nafikiri unapomtuhum mtu lazima achukuliwe hatua sa sijawahi sikia mh kama kweli alichukuliwa hatua za kisheria hii inanifanya niamini kuwa lowasa hana kosa coz angelikuwa ameshiriki hao waliomtaja wangemchukulia hatua,,,,tuacheni siasa na chuki za vijiweni hebu tuwe na utaratibu wa kufuatilia mambo na sio kudanganywa na wanasiasa
Wewe ndiyo hujui lolote kuhusu haya maswala, yaani wewe ndiye utakaeenda kuchunga ng'ombe mwezi wa kumi wakati Lowassa aneyoyoma kwenda Ikuyu, utaelewa tuuuuu