Lowassa Live ITV akipiga Kura Monduli

Lowassa Live ITV akipiga Kura Monduli

"Tutavuka daraja tutakapolifikia" ni maneno ya busara kutoka kwa Edward Lowassa baada ya kuulizwa atayapokeaje matokeo ya Uchaguzi mkuu.
 
Ameyasema hayo akihojiwa mara baada ya kupiga kura sasa hivi huko Ngarashi, Monduli.

Pia amehojiwa kwa lugha ya kiingereza na kujibu bila wasiwasi.

Ameanza kulialia ...... . .. nicheke mie Jambazi Sugu limeshatulia Monduli sasa wanafanya hesabu ya kumchangia ng'ombe za kuchunga khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Lofa niko kwenye foleni baada ya nusu namsindikiza Lowassa ikulu
 
Binafsi nimemsikia na nimefurahishwa na msimao huo.

Kaema mpaka sasa mambo yanaenda vizuri.
 
"tutavuka daraja tutakapolifikia" hatutegemei kushindwa
 
Leo saa 2 asubuhi nilikwenda kuchukua Lemara mtaa wa Korongoni shule ya Sekondari Naura hakika nilichoshuhudia binafsi kinatisha waTanzania wanataka mabadiliko.

1.Wapiga kura wanauliza nchi ndogo kama Rwanda wanamiliki ndege 7 Tanzania NIL
2. CCM & Serekali yake wameuwa viwanda alivyojenga Mwl Nyerere vijana hawana ajira.
3. Huduma za afya zimedorora kabisa Kikwete badala ya kuboresha anakwenda kununua magari ya polisi kutupiga.
4. Elimu ya Tanzania imeshuka sana watoto wetu hawana uwezo wa kushindana katika soko la ajira la EAC.
5. Utendaji wa serekali ya Kikwete umeshuka sana vyombo kutoa haki kama polisi,mahakama rushwaa imetamalaki.
6. Huduma za maji & umeme zimezidi kuwa mbaya.

Jina langu linahakikiwa na karani wa tume nawaacha wapiga kura wakiendelea kulalamika lakini wakiwa wamejiandaa kutoa hukumu kali na kupeleka kilio mtaa wa Lumumba.
Huku wanauliza iwe je wazalilishaji watoto watolewe jela
 
Back
Top Bottom