Lowassa tunamtegemea sana kubadilisha upepo wa siasa za CCM, yeye amekuwa mbuzi wa kafara tu. Hizi scandal zote ni za CCM as a whole, inapotokea mmoja wao anabebeshwa lawama it si completely unfair. Lowassa anazo siri nyingi zinazowahusu hao wengine mimi naamini kuwa akija public na kusema kila kitu itatusaidia sisi kufahamu ins and outs za hizo scandal.
Ninawaomba mpeni nafasi ya kuzungumza ili tuyapate kwa undani hayo yote. Ninamini akitumika vizuri anazo nguvu za kutenganisha uenyekiti wa CCM na urais wa Tanzania.