Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
ila jamani tukiacha chuki ambazo hazina msingi, ni halali lowasaa kuandamwa hivi? Tukumbuke na mema alioifanyia nchi yake
Mema yapi unayoyazungumzia mkuu! Usikute unazungumzia utekelezaji wa majukumu yake! Maana tumekuwa na udhaifu wa kudhani kiongozi anapotekeleza wajibu au ahadi zake ni hisani. Wake up my friend. Ni jambo gani alilolifanya ambalo lilikuwa nje ya majukumu yake ili leo na tusimame na tuseme anastahili pongezi!