Lowassa kuongea na vyombo vya habari

Lowassa kuongea na vyombo vya habari

“Haki hufuatana na wajibu lakini amani huletwa na haki. Niwaombe viongozi wetu wasikubali kutumia mamlaka kunyima watu haki zao kwani kwa kufanya hivyo ni kuhatarisha amani na utulivu wa muda mrefu wa nchi yetu.”
kama chadema vile!!!!!alikuwa wapi muda wote huo bila kusema chochote? au alikuwa ananufaika na hali ilivyokuwa hapo kabla lakini sasa hali imebadilika kwa upande wake ndio maana anagundua ukweli ambao ulikuwa wazi siku nyingi kwamba walalahoi wa nchi hii hawatendewi haki???????
Ni imani yangu kwamba tunaelekea pazuri ikiwa guys from ruling party understand that situation must be changed for the betterment of Tanzanians because if they fail to realise this fact we are all in trouble.
 
Ndani ya c.c.m mwanaume ni mmoja tu (Lowasa), magamba mtake msitake na kumfukuza huyu mtu hamuwezi kabisa, magamba kama mnabisha sikilizieni tamko lake.
 
napata hamu kweli kuona CCM vipande vipande...tusubiri inaweza kuwa good news kwa CDM na Watz wapenda maendeleo, haki na demokrasia ya kwl..
 
Ni vyema akae kimya kuliko kuongea na kuonekana zuzu!

Hapana bwana, akikaa kimywa hatutendei haki..Ngoja atueleze au aseme ili tujue magnetude ya madhambi aliyotutendea!

anagoja angurume ili magamba wazidi kutifuana zaidi

That's also my view!!

naomba leo aitumie vizuri kabisa ..aseme yote kabisa....

I wish he was that smart!!

Ni mda mrefu sana E Lowassa amekuwa akiandamwa sana na ccm na baadhi ya watu kwa maslahi yao wanayojua wenyewe.

Lakini tukiacha ushabiki wa kisiasa na kufikilia kwa undani Lowassa amesaidia mengi sana Tanzania. Kila mtu ana mapungufu yake hivo alionayo Lowassa si ya ajabu. CCM ina ajenda ya siri ya kumuua Lowassa kisiasa, kwa kuwa leo ataongelea mambo yote ambayo amekuwa akituhumiwa,tumsikilize vema ili tuchambue ukweli na uongo wake.

Unaweza kututajia baadhi (positive and negative)???
 
Hivi ni kweli Tatizo la CCM linatokana na watu watatu tU! Chenge, lowassa na Rostam? Wanaweza kuwaondoa wote lakini ninavyoona mie ni kuwa hawajajua tatizo liko wapi.
 
c.c.m kufarakana kote huku ni matokeo ya nguvu ya chadema, kwa c.c.m hii inaweza kuwa ngumu kwenu kuamini ili ukweli mnacheza ngoma ya chadema. Kamanda Mbowe songa mbele.
 
Ngoja tupate mtazamo wake
RA alisema kuna siasa uchwara
Sijui naye atakujaje
 
nadhani kwa tunaojua dili ya Richmond na namna lowassa alivyojitoa mhanga kuokoa nafasi ya mkuu wa nchi inauma sana, kwani mkuu wa nchi alijiingiza kupiga dili la richmond lakini kutokana na kutojua namna ya kushiriki katika madili basi ikafika wakati mambo yakachafuka na hakuwa na njia ya kukwepa ndipo lowassa akajitokeza kujitosa badala ya nafasi ya mkuu kwa mkataba wa kumsafisha ili kuokoa nchi kuyumba na kuteketea

sasa kitendo cha mwenye dili kuendelea kuwakandamiza watu waliojitolea mhanga kumkinga ni dharau kubwa na nadhani mwisho wa uvumilivu umefika kwani lazima watu wajue kuwa chanzo cha utajiri wa RIZ 1 ni richmond

lowassa si mwanzilishi wa dili la Richmond bali alijitoa mhanga kumuokoa mzee
 
ni vyema watanzania wakajua ukweli maana naamini kama hukutenda wewe umebeba siri ya watendaji wa mchezo huu mchafu jisafishe mapema kwa kuonyesha wahusika maana nahisi hutaambulia kitu kwa kutunza siri au kama wewe ndo muhusika wa moja kwa moja.Ngoja nikusikilize labda unaweza badili fikra nilizonazo juu yako!
 
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa leo anatarajiwa kuzungumza na vyombo vya habari katika mkutano ambao utazungumzia mambo makuu matatu
  1. Kampuni ya kufua umeme ya Richmond ambalo lilisababisha ajiuzulu wadhifa huo, Februari 2007.

  2. Taarifa zinazomhusu ambazo zimekuwa zikichapishwa katika baadhi ya vyombo vya habari nchini.
  3. Mgogoro ndani ya CCM mkoani Arusha, ambao unatokana na mgawanyiko miongoni mwa makada na viongozi wa chama hicho. “Pia anasema kwamba ataanzia pale alipoishia, siku ile alipozungumza bungeni kuhusu Serikali kufanya uamuzi mgumu lakini hakutakuwa na kumshambulia mtu,”
Chanzo: Mwananchi

Let us Listen,think and weigh fairly.
He can prove innocent within the limits of tanzaian inocence.
 
siamini kama matatizo yanayoikumba ccm yanatokana na lowasa,chenge,rostam,nononon
ccm imeshachoka tuu,hicho ni kisingizio
 
poa mkubwa, ila leo watatafutana!
We acha tu.....najua sasa hivi wengi watatamani walau waone kwanza alichoandaa kabla ya kwenda kuongea na waandishi wa habari....natamani amwage vyote ugali na mboga na avikanyage kanyage kabisa halafu .....si amesema anaaznia alipoishia!!!
 
Back
Top Bottom