Lowassa kuongea na vyombo vya habari

Hii nchi inaendeshwa kama movie.
Hebu tuangalie vigezo hivi:
1. Shutuma nzito kama hizi mtu maarufu, mwenye akili timamu, mwanasiasa na tajiri unaweza kukaa kimya miaka minne wakati unajua kabisa kwa kufanya hivyo unailazimisha jamii ikubaliane na tuhuma dhidi yako?

2. Hii courage ya kuongea na waandishi wa habari ameipata wapi wakati huu.

3. Je tunaweza tukasema kwamba ni coincidence kwamba kinara wa tuhuma dhidi yake (Mwakyembe) anaugua ugonjwa usiojulikana na hayupo ndani ya nchi na yeye kufanya ayafanyayo au ni mkakati?

4. Katika mazingira haya, tusubiri tusikie atasema nini, tusubiri tuone hatima ya Mwakyemba itakuwa nini.

Maswali yapo mengi ya kujiuliza ila tujadili haya machache.
Mpwa na mimi ndio nilichouliza hapo juu, kwanini leo na sio jana? Kuna nini? Why asubiri Mwakyembe hayupo? Mmhhh haya tunywe maji tumsubiri aongee
 
Sidhani kama atakuwa na jpya!
Hakuna kisichojulikana kinachomuhusu, na hawezi kuzungumzia kashfa zake........THUBUTU yake!!!

Sana sana atasema mgogoro waCCM arusha unatokana na uongozi wa CCM taifa kushindwa kuushughulikia,

Atasema maisha magumu, watz wanataka maendeleo lakini serikali haifanyi maamuzi magumu......Hatasema maamuzi hayo ni yapi.

LOWASA huyu mlafi huyu!!.........Dont expect chochote cha maana kutoka kwake.

Labda Ng'ombe atakayochinja leo, waandishi watakula nyama na supu!! + BAHASHA.
 
Summary ya yale yaliyosemwa na babu Lowasa ni yapi haswa wakuu!!!!!!!!!!!!!!!!
Kuna thread nyingine ya Invisible, kaicheki ina updates zote.

Kimsingi hajaongea chochote cha maana zaidi ya

1) hawajakunana na JK baranarani,
2) atawapeleka waandishi wa habari mahakamani kama wakimchafua
3) UVCC iachwe ifanye mambo yake yenyewe
4) mgogoro wa CCM ni wa muda, utaisha soon
5) Hana chochote cha kusema about Richmond or DOWANS

Chagua mwenyewe mkuu, uone kama kuna jamo la maana aliloongea mkuu!!
 
Chini ya rais mwinyi alikuwa na scandal ya ardhi,
Chini ya rais kikwete scandal ya energy,
ajiuzulu tu uongozi ndani ya chama. Au ahamie CDM.
Yuko kwenye wakati mgumu,akiwa mjanja,ata fight kubaki ndani.Akijitoa pia lazima aseme yale yale ambayo angeyasema akiwa ndani ya ccm,kama vile kuhusu RICHMOND.

Pia kama ni kujiuzulu alishajiuzulu uwaziri mkuu.Acheni unafiki bana,mwenyekiti wenu si alisema ni ajali ya kisiasa?Halafu tena akamgeuka kwenye kile kikao na akampa Nape rungu.

Sisi tusio na vyama tunajuwa tu we mpambe wa nani.

Kazi kweli kweli.
 
Yuko kwenye wakati mgumu,akiwa mjanja,ata fight kubaki ndani.Akijitoa pia lazima aseme yale yale ambayo angeyasema akiwa ndani ya ccm,kama vile kuhusu RICHMOND.

Pia kama ni kujiuzulu alishajiuzulu uwaziri mkuu.Acheni unafiki bana,mwenyekiti wenu si alisema ni ajali ya kisiasa?Halafu tena akamgeuka kwenye kile kikao na akampa Nape rungu.

Sisi tusio na vyama tunajuwa tu we mpambe wa nani.

Kazi kweli kweli.
Eeeh!?.... NISHAKUWA MPAMBE TENA?
Hatakiwi serikalini, sioni haja ya yeye kuwa kiongozi wa CCM(NEC is what drives CCM). Ajiuzulu uongozi CCM, abaki mwanachama na Mbunge wa Monduli.
He's not electable.... urais hatopitishwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom