Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Anaashiria ushindi mkuuu!!!
Swala la kujiuliza hapo ni, kwakuwa watu hao wote kwa picha wanaonyesha kumkubali;
swali sasa Je kwanini ahonge tena kipindi cha uchaguziiiii???
Mkuu!! naomba nitofautiane nawe. Hivi ukisema takukuru unamaanisha nini? kama ni Taasisi ya kupambana na rushwa. You are very wrong!!
ile ni Registered trust ya kuwalinda wala rushwa. na ndiyo maana iko ndani ya ikulu-mahali usipoweza kuingia kirahisi.
fimbo kama hizo zipo! kwa taarifa yako zingine ni ala ya kuwekea kisu tembea uone...unawezakusema ni fimbo kumbe kabeba kisu huyo...Kwani hicho kifimbo kina nini cha ziada mpaka kukifanya kiwe 'topic?'
FMES,
No matter how powerful Lowassa maybe hawezi kutukomboa. Lowassa si mkombozi. Ni mafia anayetaka kuitumbukiza Tanzania nzima chini ya himaya ya umafia wake. Labda ungechagua neno jingine badala ya "kutukomboa." Ukombozi wa Mtanzania utakuwa ni kuachana na ufisadi. Lowassa hawezi. Ukombozi wa Mtanzania utakuwa ni kulinda mali zetu kwa ajili yetu na vizazi vijavyo. Lowassa hawezi.
Mi-Asilimia 70 hiyoooo inapelekwa MACHINJIONI ya Ubongo.
QUOTE]
Hahahah! Maneno mazuriiii, lakini yanatia uchungu sana! Poor 70%!