Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

Hivi ni kweli ccm kwenye ilani Yao neno "kupiga vita ufisadi"litakuwepo?
 
Unajua huko chini kama kuna kitu hawakivumilii ni ufisadi. Unajua adhabu yao ni nini kwa mafisadi? Unafikiri wanaangalia hata sura zao?

Kutokana na elimu mbovu, karibu kila mtanzania ni fisadi unafahamu maana ya kupiga pesa. Wewe kama unakijinafasi usipopiga pesa jamii inayokuzunguka wote watakuona mchovu. Viongozi wote ni mafisadi wa upinzani na wanao tawala.
Ukubwa wa ufisadi wanaofanya unatofautiana kulingana na urefu wa kamba walizonazo kwa sasa, lakini kimantiki wenda ni mafisadi kuliko hata Lowasa.
 
Mzee Mwanakijiji mada yako nzuri na inajitosheleza.
Lakini mada inashindwa kuona the otherside of the coin.
EL alikuwa mwanamtandao, mtandaoni watu walikula yamini kuitawala nchi hii lakini hawakuwa na succsession plan baada ya Kikwete kutoka madrakani!

Tatizo lililodhahiri na linaonekana wazi ni kwamba uadui kati ya waliokuwa wanamtandao ni mkubwa hata kuliko uadui na vyama pinzani.
Its a do or die situation.

Lowassa anajua fika kuwa asiposhinda kinyang'anyiro cha urais, rais ajaye atamgeuza piriton.
The gentleman is between an stone and a hard place!


Unajua huku nako tutafika tu taratibu; watu wengi wana usahaulifu kiasi kwamba hawafikirii kuwa kumchagua Lowassa ni kuchagua awamu ya tatu ya JK! Sijui watu wamesahau jinsi JK alivyokuja na maneno yote matamu na haikuchukua miezi watu wakakiona cha moto. Lowassa akiamua kustaafu siasa (officially) atakuwa amejitendea mwenyewe hisani kubwa sana lakini akigombea na kushindwa sijui kama atarecover; hii ni kweli hata wakilikata jina lake. Kitamuuma kama Clinton alivyoumizwa kwa Hillary kutupwa pembeni na Obama kutinga Jumba Jeupe.
 
Team Lowassa ina majibu mepesi ktk maswali magumu, kama yeye hakuhusika na ni mchapa kzi na anaweza kuchukua maamuzi magumu iweje hakuchukua maamuzi hayo kwa richmond? mkataba ulisainiwa mwezi juni hadi decema hakuna mtambo kama PM alichukua hatua gani na nchi ilikuwa gizani? hapa tunaaminisha kweli ana maamuzi magumu yapi? kama aliweza kukaa kimya kwa miezi sita nchi ipo gizani na hakuna hatua aliyochukua? iweje mtuambie ana uwezo wa kusimamia uwajibikaji na kuchukua hatua? kuna kubwa kama kuwa gizani na PM ukawa kimya huku mkandarasi hatimizi majukumu yake? halafu useme ww ni mtendaji? naomba mtujibu
 
HIVI MWANAKIJIJI, kwani mtu akisema kipaumbele chake ufisadi inamaanisha kuwa vitu vingine havitafanyika?
Kwahiyo atakaekuja na kipaumbele cha ufisadi, hatashughulika na elimu? Kwani elimu haiwezi ikatumika kuelimisha watu wakaacha kupokea au kutoa rushwa? au wakafunzwa kutokuwachagua mafisadi katika ngazi mbalimbali za uongozi?

Hivi ndugu yangu unaishi sayari gani? hivi unajua ni kiasi gani kimetumika katika "kuelimisha" watu kuhusiana na rushwa. Inawezekana hata hujawahi kusikia tangazo la "Liangalieni Limbukeni Hili.." kama elimu ingekuwa inawafanya watu wasiwe mafisadi Nigeria lingekuwa taifa la watu safi kabisa Afrika!
 
Nimeshangaaa sana post ambayo mwanakijiji ameiandika,ningemwona wa maana kama angesema tumchague Membe wake. Povu linalomtoka si bure. MSOMI GANI ANAEJIITA MCHAMBUZI anaetaka kutuaminisha kuwa kama jipaumbele cha mtu ni kitu fulani basi vitu vingine havitakwenda. Hivi mtu akisena mwaka huu kipaumbele changu ni ujenzi wa nyumba basi hatakula, hatawapeleka watoto shule, hatalala,hatajilinda na wezi, hatasali. Ama kweli Mwanakijiji ni mchumia tumbo kama wachumia tumbo wengine.
Hivi Ni kwanini Lowasa na nyie wafuasi wake hampendi kusikia neno "UFISADI"?
 
Hivi Lowassa ndo front runner / shoo-in nominee wa CCM au...?

Manake naona kama vile mashuti yote yanaelekezwa kwake.
 
tena wanaccm wanatakiwa wadai lowasa si tu awaambie wanaccm(siyo watanzania sababu kwa watanzania hapiti hata kwa dawa) kuwa atapambana na ufisadi bali awaambie kwa namna ambayo wanaccm wakimwangalia usoni waamini anamaanisha anachokisema
 
HIVI MWANAKIJIJI, kwani mtu akisema kipaumbele chake ufisadi inamaanisha kuwa vitu vingine havitafanyika?
Kwahiyo atakaekuja na kipaumbele cha ufisadi, hatashughulika na elimu? Kwani elimu haiwezi ikatumika kuelimisha watu wakaacha kupokea au kutoa rushwa? au wakafunzwa kutokuwachagua mafisadi katika ngazi mbalimbali za uongozi?

Hivi ndugu yangu unaishi sayari gani? hivi unajua ni kiasi gani kimetumika katika "kuelimisha" watu kuhusiana na rushwa. Inawezekana hata hujawahi kusikia tangazo la "Liangalieni Limbukeni Hili.." kama elimu ingekuwa inawafanya watu wasiwe mafisadi Nigeria lingekuwa taifa la watu safi kabisa Afrika!
 
Kwa kuwa marais masikini wameshatuongoza vya kutosha,na wametufikisha tulipo. Kwa nini tusimpe urais tajiri ili nae tuone atatupeleka mpaka wapi!? Akizingua si tunammwaga tu muda ukifika!

Swat,kwa arithmetics zako Lowassa ni "tajiri"?...

Na kuna relationship gani kati ya tajiri au maskini na tabia ya wizi???

Mwizi ni mwizi tu,awe tajiri au maskini...

Hoja mufilisi kama hizo za kuamini eti mtu "maskini" ndio mwizi na mtu "tajiri" sio mwizi shows u are dillusional at best
 
That the point ambayo nimeipata humu" kwakweli sijawahi msikia ata akitamka hilo neno" si kwamba mi ni mfuasi wake sna au mkereketwa sana wa sera zake. To me I think katika wote ambao ad sahivi wamejitokeza naona bora yy sijui labda atokee mwengine mana muda bado.

Kwanini unaona yeye ni "bora". Hili limekuwa likisemwa na baadhi ya watu sasa kwamba "bora Lowassa". Ubora wake ni nini hasa?
 
we mzee angalia haya kateni jina la lowassa mtupe mtu wenu alafu akibugi tutawatafuta tuwapige masingi
 
Kwanini unaona yeye ni "bora". Hili limekuwa likisemwa na baadhi ya watu sasa kwamba "bora Lowassa". Ubora wake ni nini hasa?

Speed yake kipindi alichokua waziri mkuu japo ni kwa mda mfupi lakni vitu vichache alivyofanya vimeleta impact kubwa kwenye jamii. Elimu ni kitu muhimu kitacho mkomboa mtanzania. Shule za kata zimesaidia sana jamii. Angeweza kukaa na mheshimiwa kipindi chote nchi ingekua mbali. Huu ndio naona ni ubora wake.
 
wewe Mwanakijiji ni tunu ya taifa hili , hakuna mahali ambapo lowasa tangu azaliwe aliwahi kupinga ufisadi , hakika wewe ni kiona mbali !
 
Back
Top Bottom