Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

Lowassa Hafai! Yes I said It - Sababu ya I

umekosea general meaning ya priority!!!
na najua unajua sema kwa sasa akili yako inatumiwa!!!
sera ya kilimo kwanza haikumaanisha kutoshuhulikia kero nyingine!!! na hata ya elimu kwanza haimaanisha hatashuhulika na kero nyingine!!!!
fungua ubongo bhana !!!

Ndiyo tatizo lilipo; mnafikiria ufisadi ni "kero nyingine". So mnathibitisha hoja yangu; bado hamjaelewa (nawajumuisha hapa wote wenye kumuunga mkono Lowassa) uzito, hatari, kina, ubaya, uovu na matokeo ya ufisadi katika nchi. Mnaona ni kama 'tatizo jingine" tu.
 
Mzee Mwana kijiji umegusa pale penyewe, Lowasa ni fisadi No one TZ!!
Kahamisha fedha zetu nyingi kaficha Uswiss, zingine kanunua majumba (mavilla) London!!
Hapo bado hajawa Rais, eti awe Rais si atahamisha hazina yote ya nchi!!
Watanzania tutakuwa wajinga kumkabidhi fisi bucha eti akauze!!
FISADI ED LOWASA PERIOD, APELEKWE JELA ARUDISHE FEDHA ZETU !!!
 
Last edited by a moderator:
tatizo kubwa la nchi hii ni ufisadi na kiukweli lowasa ni kama balozi wa ufisadi tanzania anayewakilisha ccm , hata wajukuu zangu ukiwatajia ufisadi jina wanalotaja ni lowasa !
 
Lowasa uwezo wake wa falsafa ni wa darasa la pili. Mwalimu na usomi wake ailijua bila kilimo hakuna elimu kwanza kwani ili utoe elimu bora lazima government revenue iongezeke na productivity pia iongezeke. Angesema tutaimarisha uzalishaji wa kilimo, viwanda na sekta nyingine ili tuboreshe elimu yetu katika ngazi zote ningemwelewa. Narrow vision gives wrong results. We need a visionary leader who can pursue the nation's vision in a right way not Lowasa.

Mkuu mimi niliwahi kusema kuwa Lowasa ni "bogus" wafuasi wake wakaja juu.ila huo ndio ukweli jamaa ni mweupe Sana kichwani.
 
Hapo hauna msaada kwa nchi yako. Yes Lowassa hafai lakini hujasema nani anafaa, ungeandika mengi ya kumsifia ANAYEFAA ungekuwa na msaada kuliko kumponda asiyefaa kwa maneno mengi bila kuonesha mbadala. Hii nchi ina matatizo makubwa kuliko tunavyodhani kama thinkers ndio nyie

Watu kama nyie sijui mmeenda shule zipi ku sema Lowasa hafai bila kumtaja mbabala haimfanyi yeye kufaa. Watanzania wako zaidi ya milioni 45 wako wengi wanaofaa. Lowasa hafai hafai hafai nchi haiwezi kuendeshwa na mafioso
 
Hivi Lowassa ndo front runner / shoo-in nominee wa CCM au...?

Manake naona kama vile mashuti yote yanaelekezwa kwake.

I believe he is. Ni kama Clinton kwa Democrats hapa. Mgombea mwingine yeyote wa CCM lazima ampite Lowassa. His war chest is unmatched and his resolve to win is unparalleled. Unless an Obama-like figure atokee.
 
Uwepo wa mada nyingi kuhusu uchafu wa huyu fisadi ni muhimu kwa mustakabali wa Taifa letu. Tunaona sasa hivi Taifa letu linavyoangamia kwa rushwa iliyokithiri mpaka ndani ya Ikulu na Bunge na taasisi muhimu kama TRA, tunaona wizi na ufisadi na vilivyokithiri mpaka ndani ya Ikulu, Bunge, BoT na taasisi nyingine chungu nzima. Kikwete hakustahili kupitishwa na MACCM mwaka 2005 yeye na kundi lake la mtandao walilijua hilo ndio sababu wakatumia mabilioni ya pesa za mafisadi kuhonga wajumbe ili kuununua Urais. Huyu naye hana sifa yoyote ya kuliongoza Taifa letu ambalo liko katika hali mbaya kuliko kipindi chochote tangu tupate uhuru. Huyu naye anataka kufuata nyayo za Kikwete za 2005 ili kutumia mabilioni ya pesa za kifisadi kuhonga kununua Urais. Hili la huyu kuingia madarakani wakati hana sifa hata moja lazima lipigwe vita na Watanzania wote wenye mapenzi ya kweli kwa nchi yetu na wenye kuitakia mema.

Mada za kumchafua EL zimekua nyingi sasa. Inanifanya nijue yy ni bora kwa jinsi mnavyokesha kumchafua
 
Watu wa Ukawa mbona mnapanic hvo na Lowassa ?? Nafikiri mngekaa mje na mgombea wenu tukutane uwanjani .... kwani nini kinawaogopesha kiasi hicho hadi mnakuja kuingiliz mambo ya CCM ? Nafikiri mnajidhalilisha hapa. Kama lowassa ni mchafu na fisadi si ndio faida kwenu october ...sasa ni nini kinawawasha sasa hvi...???
 
Kwanini unalenga mpaka Lowasa akatwe jina sio CCM itoweke kwenye ramani za siasa za Nchi yetu.

Mtiririko wenye mfuatano wa thread zako lengo kuu ni lowassa atupwe kwenye kinyang'anyiro.
Nini kimefochika nyuma ya pazia???

hujanunuliwa kweli wewe na Rz1!
Ninamashaka na wewe zaidi ya hapo una chuki tu na Eddo.

ulimwuuliza swali akakataa hatoshughulikia Ufisadi?
kama uko kwenye Propaganda za kuhakiki yule mwenye nguvu aliyetishia ndani na nje ya CCM amalizwe kabla ya kuvumika mipaka,basi,huenda ukaeleweka.
Ila kwa mtindo huu wewe naye ni FISADI ALIYEKUBUHU.
 
Back
Top Bottom