Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,226
- 44,397
- Thread starter
- #241
Kwanini unalenga mpaka Lowasa akatwe jina sio CCM itoweke kwenye ramani za siasa za Nchi yetu.
Mtiririko wenye mfuatano wa thread zako lengo kuu ni lowassa atupwe kwenye kinyang'anyiro.
Nini kimefochika nyuma ya pazia???
hujanunuliwa kweli wewe na Rz1!
Ninamashaka na wewe zaidi ya hapo una chuki tu na Eddo.
ulimwuuliza swali akakataa hatoshughulikia Ufisadi?
kama uko kwenye Propaganda za kuhakiki yule mwenye nguvu aliyetishia ndani na nje ya CCM amalizwe kabla ya kuvumika mipaka,basi,huenda ukaeleweka.
Ila kwa mtindo huu wewe naye ni FISADI ALIYEKUBUHU.
Hivi hujui kuwa ukishamuondoa Lowassa wengine hawa rahisi; wengine hawajaanza kujitetea na kutumia nguvu kubwa kuingia Ikulu.