Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

habar inaning'inia ka zile pichu za vip enz hizooo bila shaka ulizivaa
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.
Wana CCM hao hakuna chadema hapo.
 
Wewe chadema uliingia lini hadi Leo unasema hutaki chama kipotee? Acha ushabiki wa uwongo. Ww ni ccm tu. Kama vip toroka uje ndo uongee
 
Wamzomee alafu waachwe hai kwenye ile nyomi?
Unawajua vijana wa UKAWA au unawasikia?
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Katika watu wajinga wewe ni Mpumbavu. Mbona husemi kazomewa wapi? au ndiyo pesa mnazopewa na ccm? angalia usipende kuwaongopea watu waliochoka.
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Wewe lini umejiunga na Chadema? acha unafiki ukizani itawasaidia kumbe mnaendelea kutufanya tuichukie ccm kuliko mnavyodhani
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

atakuwa yule jamaa kakodisha wazoa taka ma kunuinua tsht za cdm ili kumuua mamvi nguvu ila sisi alipo tupooooo endeleeni kununua tsht tupate mapene ya come pain na mumwambie huyo anayewatuma kachelewa mabadilikooooooooo
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Wewe tumekuwa tunajibishana hapa leo ndiyo umejiunga na Chadema? Mnafiki mkubwa
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

ile meremeta ni ya nani ......kiwira je?
yule aliyetukatiaga umeme hapa mkewe akaapata tenda ya kuuza mageneteta unamjua??????? enzi hizo??? mfyuuuu
 
Hao ni CCM wanajiingiza kwenye mikutano yake. Kwa taarifa waambieni watapigwa iko siku yao.
Kama waliweza kufanya mipango hapa Dar akina Masaburi why washindwe kupandikiza vibaraka kwenye mikutano???
Bafffffffffff CCM
 
Back
Top Bottom