kuhusu utaratibu
Member
- Feb 14, 2015
- 47
- 6
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.
Unashangaa nini sasa kuzomewa lowassa wakati mama yako alishawahi kuzomewa ukakasilika?
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.
ha ha ha ha! mbona utakoma mwenyewe na upashikuna wako!
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.
Umejiunga 12 mwezi huu siku ya jumamosi mwaka huu 2015 lol maskini then post ya 11 ushuzi uashapewa buku 10 zako ndani ya LumumbaKatika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.
ha ha ha ha! mbona utakoma mwenyewe na upashikuna wako!
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.