Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya CHADEMA amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni CHADEMA Masalia wakiwa katika makundi tofauti tofauti.

Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama.

Wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

hilo hakita kaa litokee hata ulimwengu ugeuke juu chini na ukajipange zaidi
 
Mapovu yatazidi kuwatoka tu, poleni sana ukiwa
 
Tuko wengi tuliochukizwa na lowasa kuwa mgombea wetu na tutawapa wabunge na madiwani kura lkn kura za urais tutarudisha tupu. Baada ya Lowasa kushindwa Mbowe ajipange kuwajibika.
 
Tuko wengi tuliochukizwa na lowasa kuwa mgombea wetu na tutawapa wabunge na madiwani kura lkn kura za urais tutarudisha tupu. Baada ya Lowasa kushindwa Mbowe ajipange kuwajibika.

Mkuu wengine hata ubunge na udiwani tunawapa ACT au hata TLP lakini si hawa wenye njaa za kijinga! Tunawasamehe wale walioufyata tu! Waliojipeleka front kumnadi huyu fisadi hawapati kura. Ngoja uone!
 
Kuna watafiti uchwara humu nadhani uelewa wao ni mdogo sana waambie wanaowatuma kuja kuwadanganya watu kwenye social media hawandanyiki kwa tafiti uchwara mnajichekesha wenyewe.
 
Mtakoma ubish mwaka huu. MAGUFULI NDO HABARI YA MJINI
 
kweli watu wamefirisika kifikra watu tinavyo mpenda lowassa nyie hizo ni biti za chura hazi mzuii tembo kunywa maji
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Wewe kama humuungi mkono, ondoka kama slaa, haina haja ya kuendelea kuneng'eneka, chapa lapa cc tutamuunga mkono kwa nguvu zote, piiiiiiiipoooooozzz..!!
 
Ukimwambia ukweli mwanachadema anaanza matusi mara oooh mara nn ukweli unauma sana sera ya ufisadi mlioanzisha mlipata wanachama wengi sana sasa hiyo sera mmeiacha maana fisadi mliekua mnamuimba ndio huyo mpo nae sasa hiyo sera ndio imehamia ccm maana aliekua anaisumbua ccm mnae mlifanya vibaya kumpokea sasa kuongea hawezi muda mwingine analala kupanda jukwaa hawezi dkk nne tu jamani ukweli unauma sana hivi karibuni amekosea ulimi uliteleza kuhusu udini lakini tunashukuru mungu tulijua amekosea wanadam na mungu pia amemsamehe hii ni aibu sana tusijenge chuki bali tuelimishane
 
Back
Top Bottom