Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Mutaweweseka sana na kutunga cheap propaganda za ccm. Mutafilisika nie na mawazo mgando yenu. Nie sio watu wamapambano ni watu wa hovyo mnao teketeza nchi kwa njaa zenu.
 
Ingawa Mimi siyo mfuasi Wa UKAWA ila huo uandidshi duh...in shida!!! Yaani ngoja nikae kimya tu...maana lugha chafu siyo Hekima ila ni vizuri kuandika vizuri.
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Gamba at work...
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

toka lini aisha ukawa na akili??
 
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.

Muwe wakweli hata chembe jamani, mimi nilikuwa pale uwanjani mpaka mh raisi mtarajiwa ndg Edward Ngoyai Lowasa anaingia, hakuna mtu wala kikundi cha watu kilichomzomea, zaidi ya kumshangilia sanaaa!!
 
You cant win a case without evidence. So these mere words can not hold water.
 
Naona Moderator na Invisible wapo likizo,mleta mada leo moja tu kaanzisha thread zaidi ya 10 kumchafua Lowassa!!

Kweli Makamba na vijana wake wa IT Masaki hawalali!!
 
Last edited by a moderator:
Kazomewa mimi nimekuwa morogoro na nimeshuhudia akizomewa japo mnaficha.

We dada mnafiki me nilikuwepo mwanzo mwisho nani kamzomea acha uongo wako hawa wanachama wameambukizwa uongo na viongozi wao
 
Babu hali yake sio nzuri ndio sababu anazomewa.
 
Kama hizi ndo propaganda za magamba, wajipange upya. Hata wasio na vyama wanaona ni ujinga!!
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Weka namba yako ya kadi ya CHADEMA hapa tujue ukweli wako.. Otherwise u r just another fvcker
 
Sishangai kama kazomewa maana hata Lema alisema watu wakimzomea watapata baraka, hivyo kwa sentensi ya Lema watakua wamebarikiwa watu hao!
 
Back
Top Bottom