Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Lowassa azomewa na wanachama wa CHADEMA

Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Hahahahaha misisiem bana badoooooooooooo

Mtakaa sana na likilaza lenu mapombe
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Punguza viroba vya lumumba vitakuua
 
Wametengeneza kusema uongo hao wasisumbue akili zetu bhana, hiz post zisizomana msizijibu waachien waowaoo
 
Aisha Iddi kadi yako mamba ngapi? Na sisi na mwenzako nani? Ebu katawaza ulale.
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

UVCCM ktk ubora wenu
 
Mimi siwezi kumzomea ila simuungi mkono ila habar za kupanua kinywa eti nimzomee sina wazimu huo
 
Ndiyo matunda ya sharia za mitandao za dogo makamba. Ni mikamba kweli yani
 
Sisi wanachadema hatutaki kukipoteza chama chetu ndiyo maana hatumuungi mkono mgombea wetu wa Urais... Haiwezekani mtu fisadi aliyepingwa na marais wote waliopita halafu tumpokee kwa shangwe. Tutaendelea kumzomea hadi mwisho na tutahakikisha hapati ushindi, bora litote tugawane mbao, tutajipanga tena 2020

Unavyo sema sisi wana chama wa CHADEMA una mana gani koz mimi ni mwanachama pia ila kwa mawazo yako mgando sikungi mkono koz bado hauji elewi
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.
Naona Mods aneshaona waakupa nafas ya kuthibitisha am sivyo ban ni haki yako.
 
Wewe bi magamba nenda kachukue buku saba lumumba...hivi mbona mnaweka mijitu mijinga kwenye propaganda zenu???..mtachekwa hata na watt wadogo..ni magufuli pekee atakayezomewa na video tunaziona lkn kwa mh EL. .hubuutu..mtajuta si mlimkata!..nasikia bilion150 zinakaribia kwisha with no results tatizo mnahonga watu wajinga kabisa kama kina Ray na aunt Ezekiel! Sasa hao wana impact ipi kwenye society? ..nyie fisiemu ni mamburulaz vibaya sana! Mwaka huu lzm mkae!

wewe nyumbu huko chadema umehongwa bei gani?
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Posts count: 12

Other: member

Could be another Mr chin or most likely multiple IDS
 
Mleta mada kaleta propaganda za ki sisiemu hapa ! Lowasa chaguo langu tuu
 
Nadhani anaongelea wale wana Ccm waliomzomea Magufuli nyumbani kwake Chato wakasema hafai. Hajawahi kuwasaidia lolote tangu awe mbunge na waziri.

Wakaenda mbali zaidi wakidai amekuwa dalali wa wazungu kuchimba madini kanda ya ziwa nakuwaachia wananchi mashimo navumbi, huku mapato akigawana naviongozi wenzie wa Ccm, nakuwaacha wananchi ktk lindi laumaskini wakupindukia.

Kusema kweli Magufuli kwao hakubaliki hata chembe, vijana wamejipanga kumkataa kwavitendo kupitia sanduku la kura.

Mtu asiyekubalika hata nyumbani kwake hafai na hafai hatakuwa mjumbe wanyumba kumi.
 
Katika kampeni zake mgombea urais kupitia tiketi ya chadema amezidi kupata wakati mgumu kwa kuzomewa na wanachama wanaosadikika ni chadema masalia wakiwa katika makunditofautitofauti. Vijana na mashabiki hao bado hawaamini kama ni kweli mzee huyo kapewa kugombea nafasi hiyo pasipo kuwa na uwezo na sifa zilizokuwa zikiendana na maadili ya chama, wanachama hao wameenda mbali na kusema wanawasiwasi na mkiti wao pamoja na watendaji wengine kutokana na kutumia mabavu katika kufanya maamuzi pasipo kuhusisha maoni ya wanachama.

Huu uzushi wapelekee mazuzu huko kwenye ukoo wako! Nani asiyejua kuwa CCM huwavalisha tshati vijana wa CCM kisha kujidai ni chadema ya Slaa huu uzushi sasa upo wazi kila mtu anaujua.
 
Back
Top Bottom