Wanaokishabikia chama cha serkal iliopo madarakan wa wanajua ivi
huduma ya afya kwa mama mja mzito, aliyejifungua, mototo na wazee ni bureeeeeee.
Elimu ya sekondari ni boraaaaaa na inatolewa kwa tsh 20,000 na 70,000 tuuuuuuu.
Pembejeo za kilimo ni bei rahisi na havina kodi na mazao pia ya mkulima yanataftiwa soko ........
Inatosha naona had naona uchungu........
huduma ya afya kwa mama mja mzito, aliyejifungua, mototo na wazee ni bureeeeeee.
Elimu ya sekondari ni boraaaaaa na inatolewa kwa tsh 20,000 na 70,000 tuuuuuuu.
Pembejeo za kilimo ni bei rahisi na havina kodi na mazao pia ya mkulima yanataftiwa soko ........
Inatosha naona had naona uchungu........