MCHUMIPESA
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 2,088
- 259
Alipokuwa anatangaza nia kule Arusha Lowassa alihutubia kwa dk 20. Juzi Mbeya kahutubia kwa dakika 16, Arusha Dakika 7 na Zanzibar Dakika 11. Hivi huyu Lowassa ataweza kuhutubia mikutano ya Kampeni zaidi ya minne kwa siku?
Ataweza kuzunguka nchi nzima kama alivyokuwa anafanya Dr Slaa? Mwisho ataweza kuhutubia Bunge kwa masaa mawili hadi matatu? Ataweza kukagua paredi ya kijeshi? Mhhhh naanza kupata mashaka.
ccm hamna jipya.
kabobo zenu tumezichoka
tunahtaji vitendo kutoka ukawa na sio mipasho na udaku vya magamba.
ccm hamna jipya na tena mlaaniwe milele.madhambi yenu yatawalaani na vizazi vyenu vyote.
mwaka huu hatudanganyiki mburula nyie.