He has our diplomatic passport, does he still needs a Visa to enter UK?
Mkuu Rev! YES indeed he needs the visa, kuwa na diplomatic passport hakumfanyi mwenye pasi apewe visa waiver....hata JK akitaka kusafiri huwa anaombewa visa na hiyo diplomatic passport yake.
Tukirudi kwenye suala la Mh. Lowassa kunyimwa visa hilo linawezekana kwasababu serikali ya UK imekuwa na tabia ya kuwanyima visa viongozi wa Afrika wanaohusishwa na ufisadi...mfano hai...viongozi wa juu wa Kenya...wakiwemo mawaziri wa serikali ya Moi na hii ya Kibaki wamenyimwa visa za UK...