Lowassa anusurika kifo Morogoro

Lowassa anusurika kifo Morogoro

PISTO LERO

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2011
Posts
2,819
Reaction score
1,455
Waziri mkuu aliye jiuzulu Lowasa amenusurika kifo mkoani Morogoro eneo la bwawani baada ya gari lake kukoswa koswa na basi na kukwaruzwa ubavuni upande wa kulia,hakuna yeyote aliyeumia.

Lowassa alikuwa akielekea Morogoro kuchangia harambee ya ujenzi wa kanisa ambapo yeye na rafiki zake wamechangia shilingi milioni 18.

dah: inabidi na mimi nianze ujenzi wa kanisa nadhani nitapata fugu hapo,

ITV HABARI.
 
Katika taarifa ya habari ya ITV Mh. Edward Lowasa amenusurika katika ajali ya gari wakati akienda kwenye harambee ya kanisa la KKT ushirika wa morogoro.
 
Humo makanisani humo huyu bwana...!!! kheri yake kama kanusurika, afu hivi Lowassa alistaafu au alijiuzulu kwa kashfa!?
 
Yawezekana wabaya wake wamefanya hujuma kwa nn hakukodi helkopta atoe m.5 na m.5 alipe helkopter?
 
Du hilo basi lingefanya kweli tungepunguza fisadi mmoja mkubwa na hatari! Mungu atusaidie ipatikane fursa nyingine ya kuondokewe na fisadi huyu mnafiki anayejifanya kuchangia makanisa wakati akiwaibiwa watanzania. May you perish fisadi!

We sio greatthinkerto say so Mh, huyu ni mtu muhimu sana kwa mustakabari wa nchi yetu sahivi...jifunze kuona mbali.

Mungu ashukuliwe kwa kuepusha hili
 
Katika taarifa ya habari ya ITV Mh. Edward Lowasa amenusurika katika ajali ya gari wakati akienda kwenye harambee ya kanisa la KKT ushirika wa morogoro.

Pole sana Our President in the making!!
 
Waziri mkuu aliye jiuzuli lowasa amenusurika kifo mkoani morogoro eneo la bwawani baada ya gari lake kukoswa koswa na basi na kukwaruzwa ubavuni upande wa kulia,hakuna yeyote aliyeumia.

Lowasa alikuwa akielekea morogoro kuchangia harambee ya ujenzi wa kanisa ambapo yeye na rafiki zake wamechangia shilingi milioni 18.

dah: inabidi na mimi nianze ujenzi wa kanisa nadhani nitapata fugu hapo,

ITV HABARI.

Mtu kapata minor road accident mnasema kanusurika kufa........! Hii maana ya kunusurika kufa sasa inapotoshwa
 
Hivi hili jina la "Waziri Mkuu Mstaafu", ndio maana yake nini? Mtu ameachia ngazi kwa kashfa na bado wanampamba na jina hilo. Kwa nini wasimuite "Waziri Mkuu Aliye Jiuzulu kwa Kashfa"!!!???

Kila kukicha oooh Waziri Mkuu Mstaafu. Na akina Sumaye F, Salum A, Warioba tutawapa cheo gani?
 
Lowassa ni muhimu kwa mafisadi na wale wanaojikomba kwake kuganga njaa. Ni muhimu kwa vipofu wanaotumia matumbo na massaburi kufiiri badala ya brain. Yeye kama partner wake ni baa la taifa. May he perish!
We sio greatthinkerto say so Mh, huyu ni mtu muhimu sana kwa mustakabari wa nchi yetu sahivi...jifunze kuona mbali.

Mungu ashukuliwe kwa kuepusha hili
 
Mungu mkubwa kamwepusha kifo rais wangu wa 2015. Halafu hapo Moro pana pepo gani? Palimchukuwa Sokoine! Pepo hilo lishindwe!
 
Waziri mkuu aliye jiuzuli lowasa amenusurika kifo mkoani morogoro eneo la bwawani baada ya gari lake kukoswa koswa na basi na kukwaruzwa ubavuni upande wa kulia,hakuna yeyote aliyeumia.

Lowasa alikuwa akielekea morogoro kuchangia harambee ya ujenzi wa kanisa ambapo yeye na rafiki zake wamechangia shilingi milioni 18.

dah: inabidi na mimi nianze ujenzi wa kanisa nadhani nitapata fugu hapo,

ITV HABARI.

Correction, sio aliyejiuzuru ni mstaafu...
 
Waziri mkuu aliye jiuzuli lowasa amenusurika kifo mkoani morogoro eneo la bwawani baada ya gari lake kukoswa koswa na basi na kukwaruzwa ubavuni upande wa kulia,hakuna yeyote aliyeumia.

Lowasa alikuwa akielekea morogoro kuchangia harambee ya ujenzi wa kanisa ambapo yeye na rafiki zake wamechangia shilingi milioni 18.

dah: inabidi na mimi nianze ujenzi wa kanisa nadhani nitapata fugu hapo,

ITV HABARI.

.
Ashukuriwe Mungu kwa kukuokoa Lowasa.
Hivi kama Lowasa hakuwa fisadi haya majengo ya makanisa yangejengwa na nini?
Hela ya kifisadi tamu eti? hata miungu wanaimezea mate.
.
 
Back
Top Bottom