Lowassa anazidi kuwa mkiwa ndani ya CHADEMA!

Lowassa anazidi kuwa mkiwa ndani ya CHADEMA!

Usipanic kijana,
JF is were we dare to talk openly.
If it hurts you do not open it
Kuna baadhi ya watu ukilitaja jina la Lowassa wanatoka kwenye mapango haraka ili kupambana kwa kutumia hoja za nguvu.
 
Lowassa, ikulu???? How mwaka gani, tusadanganyane√√√√√√√√√√√^√^^√^√^√√√√°°°°°°°°
 
I congratulate Lowassa for a peaceful none violent politics. Big up Lowassa. You show political maturity in the midst of political babies.
 
CCM wanateswa sana na Lowassa ndio maana Mkutano Mkuu wa Dodoma ajenda ilikuwa Lowassa , NEC ajenda ilikuwa Lowassa na Kamati Kuu ajenda ilikuwa Lowassa na sasa kwenye mitandao naona mmeelekezwa ajenda kuu iwe Lowassa na CHADEMA .Publicity anayoipata Lowassa hakuna mwanasiasa anaipata katika ukanda mzima wa Afrika as of now....
Lowassa hawezi kuitesa CCM. Lkn anabakia kuwa kama onyo kwamba mwanaCCM akiondoka yatamkuta yaliyomkuta Lowassa. So that of course is a publicity lkn ni kuwa maarufu kwa kupoteza
 
"Ulipo tupo" wameanza kujirudisha mmoja-mmoja! Inaonekana baridi ni kali sana nje ya CCM

Hamna hela mkuu hata wale matajiri waliokuwa wanamuunga mkono wameshaashtuka maana biashara zao zishaanza kwenda mrama ,kipindi kile umate umate kila kona ,bandari ,watumishi vihiyo ,wezi kila sehem ya nchi hela ilikuwa inapatikana kwanza ya bwerere , kwa sasa kila mtu na hamsini zake
 
Waache CCM wajiaminishe sana kuwa hii nchi ni yao. Huyo lowassa wanamhanya sana ndo maana wanatumia nguvu zote kumpoteza. Na hawatoweza.hawatoamini kitachowatokea 2020. Hapo maisha ya watanzania yatakua worse than ever... Tutaichanachana ccm 2020..just wait and see...
 
CCM wanateswa sana na Lowassa ndio maana Mkutano Mkuu wa Dodoma ajenda ilikuwa Lowassa , NEC ajenda ilikuwa Lowassa na Kamati Kuu ajenda ilikuwa Lowassa na sasa kwenye mitandao naona mmeelekezwa ajenda kuu iwe Lowassa na CHADEMA .Publicity anayoipata Lowassa hakuna mwanasiasa anaipata katika ukanda mzima wa Afrika as of now....
Kweli kabisa. Hakuna wa kupinga
 
Kweli Lowasa kiboko. Hakuna siku ikapita humu kwenye JF CCM wamekosa kumuongelea Lowasa
 
Huyu Lowassa ana nini jamani?
Mbona haipiti siku sijamsikia?
Na zaidi namsikia kutoka kwa wanaCCM...
Kwani kawafanya nini?
Alichonacho Lowassa ni hiki hapa ambacho kinamfanya jina lake litajwe kila siku.

Siku ambayo atakisafisha hiki alichonacho ndipo siku itapita bila jina lake kutajwa.

Kwa maelezo zaidi muulize Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea!

1087fc3f2eddd248157bdbc44c492fc0.jpg
 
Alichonacho Lowassa ni hiki hapa ambacho kinamfanya jina lake litajwe kila siku.

Siku ambayo atakisafisha hiki alichonacho ndipo siku itapita bila jina lake kutajwa.

Kwa maelezo zaidi muulize Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea!

1087fc3f2eddd248157bdbc44c492fc0.jpg
Mlisha msafisha cku nyingi , ndo maana ss hatujapata tabu kumnadi ...mshukuruni tu jaji lubuva lasivyo mngeitwa majina yasiyofaa
 
Jamani hadi wolper unaona ni WA maana kabisa Na anapaswa Kuwa sehemu ya mjadala let us be serious! Wakiondoka hao tayari ni ukiwa Kwa lowasa! Hakuna Siku inapita Na hakuna mkutano WA ccm ulipo jina Hilo halitajwi! Jamaa ni shujaa
 
Tatizo la Ukawa ni kubwa kuliko tunavyodhani kwamba lowasa anafaa kuwa suluhisho lake. Lowasa anaongeza chumvi kwenye kidonda Cha matatizo ya Chadema kuliko kua tiba.
Je, CHADEMA wataweza kumkata Lowassa ambaye kwa sasa anaongea na kutoa matamko kama yuko juu ya Mwenyekiti wa CHADEMA wa Taifa.
 
Hili ndilo suala ambalo wana CDM hawaelewi,Lowassa siasa zake ni za kimkakati,Kwa wanaomfahamu kitambo ni mtu wa kutengeneza kundi ndani ya kundi na ndo kilichompa shida sana JK,kulikuwa na makundi wawili makubwa ndani ya CCM,baada ya EL kuhamia CDM ameendeleza style hiyo hiyo,bahati nzuri CDM amekuta wengi wana harakati ndo jambo linalompa tabu,ila tangu JPM aingie madarakani CCM imevunja makundi na jumamosi juzi makundi yamekufa rasmi,huku CDM wakitofautiana misimamo,katika neno ambalo hutalisikia kwa EL ni kujiita kamanda.In short chochote utakachoona anafanya mzee EL katika siasa yeye shida yake ni kugombea na kushinda kuwa raisi tu.Haya mengine ya mikutano sijui nini yanampotezea muda,ndo maana wakati mwingine kwenye mikutano Yupo kama hayupo,na hutakaa umuone kwenye maandamano yoyote kama walivyokuwa wakifanya akina Dr.Slaa,Mbowe na wengine Huko nyuma.Juzi juzi kuanza kuwazuia BAVICHA uanaharakati na ukamanda rasmi.In short CDM chini ya EL hutaona mishemishe za Huko nyuma.Swali ni je,unaiondoaje CCM kimya kimya??,. Kwahiyo utaona Huyu mzee ni mwiba ndani ya chama,na Mbowe na wenzake wameshaliona hilo,muda ukifika itabidi watafute namna ya kumuondoa kwenye chama Kwa nguvu,na ndo Utakuwa mwisho wa mzee ENL kisiasa,na hili halina siku nyingi,mnaoongea habari za 2020 ni kwamba hamjui kinachoendelea ndani ya chama na mmejaa mahaba ya chama,huko ndani mengi yanaendelea chini chini.Tusubiri muda utaongea.
 
Muitaliano aitwaye Niccolò Machiavelli aliwahi kusema, ‘’Politics have no relation to morals’’.

We have to remember, Strive for power attracts hard-wired mind for bribery like a flame attracts moths. Politics is a damn expensive business kama msingi wake ni pesa.

Safari ya matumaini ya Lowassa kwa sasa imeanza kugeuka safari ya ukiwa hata mwaka mmoja haujapita. Ama kweli, A week is a long time in politics.

Wale watu waliokuwa wanaitwa Lowassa confidant na Ulipo Tupo kwa sasa wanamkimbia kama maji yanavyotiririka kutoka kwenye mlima.

Politically, Lowassa is dying while walking.

Aliyefungua mlango na kuanza kumkimbia baada ya uchaguzi Mkuu alikuwa Balozi Juma Mwapachu.

Aliyefuata nyuma alikuwa Goodluck ole Madeye.

Haukupita muda, akaibuka Mgana Msindai

Kabla hata siku haijapita akaibuka Jacqueline Wolper Massawe na kusema bye-bye.

Waliobaki kama Lowassa confidant kwa sasa ni Kingunge Ngombale–Mwiru na Hamisi Mgeja huku Frederick Sumaye akirudi chini ''mchangani'' kujijenga akitumaini kupambana na Lowassa katika nafasi ya Ugombea Urais.

Who is next after Jacqueline Wolper?

Tunaweza kukaa na kuanza kujifariji lakini ikumbukwe nyota njema huonekana asubuhi.

Kwa sasa hata baadhi ya CHADEMA die-hard wameanza kushtuka kuhusu hatima ya Lowassa ndani ya CHADEMA kutokana na kuanza kujijenga huku akitoa matamko na kauli zinazotoa ishara kama yeye yuko juu ya Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Wanaozifahamu vizuri siasa za Tanzania hawawezi kushangaa kinachomtokea Lowassa kwa sababu hata Augustino Mrema alipitia njia ile ile anayopitia Lowassa.

Don't bet your life on history repeating itself through Lowassa.

The man is in trouble!

Siyo muda mrefu atakapo baki peke yake ataanza kuvaa magwanda ya CHADEMA ili afanane na makamanda na ataanza kuongea lugha ya kikamanda as the last kick of dying horse.
kp28072015.jpg
Siasa za upinzani afrika ni siasa za kitume nisiasa zisizo na maslahi ya vyeo wala Pesa ni siasa za kupigwa na kufunguliwa kesi,wanao weza kuwa upande wa siasa hizo ni watu wale walioteuliwa toka katika matumbo ya mama zao kuifanya kazi hiyo.

Kua mpinzani ni kujitoa sadaka na niwachache mno wenye uwezo wakutoa sadaka ya muda jasho na Pesa zao Kwa malipo ya vipigo vya polisi na jela.
Upinzani nchini mwetu utajengwa na watu walio walowevu wa itikadi ya vyama vyao, watu wenye mapenzi na nchi yao kuliko matumbo yao.

Ni muhimu kutambua hakuna cheo cha DED, DAS, DC wala utendaji kata utaupata ukiwa mpinzani hivyo ukiamua kufanya siasa za njee ya chama tawala kumbuka kuikana nafsi yako juu ya maslahi binafsi vinginevyo utahama chama A kwenda B kwenda C na D kama kahaba anavyo badilisha wanaume.
 
Kutafuta u DC wakati umepita mtaumia nyie kwani mashamba hamuyaoni? Mkalime bwana
Wewe unatafuta nini hapa kama yeye anatafuta uDC?

Kwani wewe unachokifanya hapa ni kulima shamba?

Kwa nini na wewe usiende kulima mashamba?
 
lowassa ana pesa, tofauti na unavyo fikiri, make wake alikataa kuteuliwa ubunge was viti maalum, jiulize alipata wapi huo ujasiri, lowassa anajua anacho kifanya , siasa anazijua nje ndani.

aliye andika hii post ameandika kiushabiki bila kuwa na fact.
 
Why dont you use your time thinking about your future and your nation rather than always talking about Lowassa, Lowassa...?
because is a disaster. Why people thinking abouta AIDS, MALARIA, EBOLA, CHOLERA, and there is a lot of compaign on them?
 
Back
Top Bottom