Lowassa anazidi kuwa mkiwa ndani ya CHADEMA!

Lowassa anazidi kuwa mkiwa ndani ya CHADEMA!

lowassa ana pesa, tofauti na unavyo fikiri, make wake alikataa kuteuliwa ubunge was viti maalum, jiulize alipata wapi huo ujasiri, lowassa anajua anacho kifanya , siasa anazijua nje ndani.

aliye andika hii post ameandika kiushabiki bila kuwa na fact.
akubali ili aje athalilishwe kwa akili za kiBavicha za kuziba midomo kwa plasta?
 
Msanii ni baba yako mzazi
Polisi wametanda nchi nzima wakishirikiana na TCRA kumkamata kila mwanaJF aliyepo huku hasa wenye lugha tata. Tukishakamatwa tutapelekwa sehemu moja wote halafu kila mmoja atasomewa post zake na comment zake halafu members watoe maoni yao juu ya comments zake humu JF na aanze kutukana Live tuone kama atamudu. Baada ya hapo tutatenganishwa, ukawa gereza lao na tawala gereza lao na simu zetu tuendelee kuchat tukiwa humo. Wasio na chama, watalazimika kuchagua mojawapo ya gereza kati ya hayo mawili. Punguza matusi kubaba.
 
Don't be silly, Wolper what for? We need people with strong political maturity not entertainers.
 
Kila sentensi 2 za CCM lazima atajwe Lowasa.

Inashangaza sana. And, it's really annoying kusikia hizi kauli zisizoisha kuhusu mtu waliyehitimisha kuwa keshakufa kisiasa zaidi ya mwaka sasa. Nothing short of guilty conscience must be tormenting these people.

Hawa wote walikuwa washirika wa ufisadi. Leo hii hata JK anajinasibu kama mpambanaji dhidi ya ufisadi simply kwa vile alikuwa kwenye nafasi ya "utukufu" akatumia "ajali ya kisiasa" kumtosa "rafiki yake" EL. Ni bora waachane na Lowassa, waendelee kuweka sawa mikingamo ya kifisadi iliyokizonga chama chao. Just imagine JPM and JK being in the same boat! Lazima watafute topic ya Lowassa ili wapate kisingizio cha kujiona "ndugu".
 
Inashangaza sana. And, it's really annoying kusikia hizi kauli zisizoisha kuhusu mtu waliyehitimisha kuwa keshakufa kisiasa zaidi ya mwaka sasa. Nothing short of guilty conscience must be tormenting these people.

Hawa wote walikuwa washirika wa ufisadi. Leo hii hata JK anajinasibu kama mpambanaji dhidi ya ufisadi simply kwa vile alikuwa kwenye nafasi ya "utukufu" akatumia "ajali ya kisiasa" kumtosa "rafiki yake" EL. Ni bora waachane na Lowassa, waendelee kuweka sawa mikingamo ya kifisadi iliyokizonga chama chao. Just imagine JPM and JK being in the same boat! Lazima watafute topic ya Lowassa ili wapate kisingizio cha kujiona "ndugu".
No sir. It's politics. You "attack" your enemy. You strategize against him. You do this relentlessly until you are 100% sure that s/he is completely finished. Attacking your enemy is actually expected.

It's obvious that Lowassa is still alive and well politically. Once he is completely dead, nobody will attack him or mention his name except may be in historical perspectives. Have patience my friend. The time will come!
 
Lowassa political ideology yake ilikuwa ni kupata urais full stop. Na wafuasi wake wote political idelogies zao zilikuwa kupewa vyeo na kupewa fursa za dili. Baada ya kuona hawezi ku-achieve kila walichotegemea ni wazi hawawezi kuendelea kumuunga mkono. Wameshapiga mahesabu wakaona 2020 hakuna matumaini. Sasa wasubiri ni nini? Tena walivumilia na kumstahi sana! Wenzao kina msukuma, mama Sofia, Nchimbi etc walisoma alama ukutani na wakamkana kbla hata jogoo halijawika. Upande wa pili: Hiyo ndio hasara ya siasa za kiafrika. Siasa za kiafrika zime-base kwenye vyeo vs maslahi binafsi na sio ideology! Siasa za aina hii siku zote hazileti maendeleo ya maana kwani watu wanakuwa wanafiki na wanaangalia matumbo yao kuliko matatizo ya umma kwa ujumla.
You've said it.

Thanks.
 
uliona eeee
Kiongozi kutaja chama cha upinzani na hata kukishambulia ni ajabu? Basi kama ni hivi siasa zetu ni very unique. Ma Republican na ma Democrat kule kwa waliotuletea hili dude demokrasia wanaparurana kweli non stop. Sisi hata kutaja tu jina la chama cha upinzani ni shida! Kazi ipo!
 
Kiongozi kutaja chama cha upinzani na hata kukishambulia ni ajabu? Basi kama ni hivi siasa zetu ni very unique. Ma Republican na ma Democrat kule kwa waliotuletea hili dude demokrasia wanaparurana kweli non stop. Sisi hata kutaja tu jina la chama cha upinzani ni shida! Kazi ipo!
hahahaha
 
Back
Top Bottom