yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,906
Muitaliano aitwaye Niccolò Machiavelli aliwahi kusema, ‘’Politics have no relation to morals’’.
We have to remember, Strive for power attracts hard-wired mind for bribery like a flame attracts moths. Politics is a damn expensive business kama msingi wake ni pesa.
Safari ya matumaini ya Lowassa kwa sasa imeanza kugeuka safari ya ukiwa hata mwaka mmoja haujapita.
Wale watu waliokuwa wanaitwa Lowassa confidant kwa sasa wanamkimbia kama maji yanavyotiririka kutoka kwenye mlima.
Politically, Lowassa is dying while walking.
Aliyefungua mlango na kuanza kumkimbia baada ya uchaguzi Mkuu alikuwa Balozi Juma Mwapachu.
Aliyefuata nyuma alikuwa Goodluck ole Madeye.
Haukupita muda, akaibuka Mgana Msindai
Kabla hata siku haijapita akaibuka Jacqueline Wolper Massawe na kusema bye-bye.
Waliobaki kama Lowassa confidant kwa sasa ni Kingunge Ngombale–Mwiru na Hamisi Mgeja huku Frederick Sumaye akirudi chini ''mchangani'' kujijenga ili kupambana na Lowassa katika nafasi ya Ugombea Urais.
Tunaweza kukaa na kuanza kujifariji lakini ikumbukwe nyota njema huonekana asubuhi.
Kwa sasa hata baadhi ya CHADEMA die-hard wameanza kushtuka kuhusu hatima ya Lowassa ndani ya CHADEMA.
Wanaozifahamu vizuri siasa za Tanzania hawawezi kushangaa kinachomtokea Lowassa kwa sababu hata Augustino Mrema alipitia njia ile ile anayopitia Lowassa.
Don't bet your life on history repeating itself through Lowassa.
The man is in trouble!
Siyo muda mrefu atakapo baki peke yake ataanza kuvaa magwanda ya CHADEMA ili afanane na makamanda na ataanza kuongea lugha ya kikamanda as the last kick of dying horse.
"Ulipo tupo" wameanza kujirudisha mmoja-mmoja! Inaonekana baridi ni kali sana nje ya CCM
Kila sentensi 2 za CCM lazima atajwe Lowasa.
wanazidi kumpa chati.
Sijaona aliyejitanabaisha kama mwana CCM kwenye thread hii.
Au CHADEMA naona hata Magu jana alivumilia mwisho akashindwa akaitaja
Ni kanuni ya jumla ya kimaumbile hapa duniani. Mti wenye matunda ndo hupopolewa mawe. Ukiishiwa matunda walioshikilia mawe utawaona wanayaweka chini mawe yao tena kwa hiari yao na kwenda zao. Hata wewe Mchambuzi. Ukiona huna haters wala warusha mawe basi jua kuwa you are finished. As far as Lowassa is concerned tuiache historia ichukue mkondo wake.
Siku zote ukiona adui yako anakutaja ujue ana kuhofia
Kwanini asitaje cuf au act