Mugo"The Great"
JF-Expert Member
- Oct 7, 2007
- 262
- 25
Duh jamaa mi sikumwelewa anaongea nini pale, na niliwaambia ile kitu si live mana hata yeye anajua wananchi wana hasira naye. yani tulijiandaa na simu ana bahati sana huyu baba yeye anadhani anaweza kubaili mawazo ya watanzania kw sasa?na hao waliompokea nina mashaka ufisadi uliwapitia, mtz mwenye akili hawezi kwenda pale. wewe kiongozo wa ccm [mkoa unampokea kamanani kwa kweli sipati jibu na hao waliotandika red carpet sijui wamedata au?yetu macho ila 2010 si mbali watanzania tutachagua tunayeona atafaa.Ati kamati haikumtendea haki,alitaka aulizwe nini wakati alikubali yote yatokee chini yake.halafu anasema ndege ya tz inapaa?sasa imeanguka naye na asubiri hata huo ubunge atakosa mana original wamasai wataamua wanamtaka nani kati yake na sokoine
Hao waliotandika red carpet akili yao imeshughulikiwa na fedha za Richmonduli kiasi kwamba ile "Conscience" imewatoka na wanaendeshwa kwa "Remote Control" Ndege ya EL iliyokuwa inapaa ikiwa imebeba 'Mshiko"-152 Milioni za Watz imetunguliwa na Kombora la JF, hitima ikasomwa na Kamati Ya Mwakyembe.