Kishaju
Senior Member
- Feb 23, 2008
- 106
- 62
Njaa zao zitatufikisha mahari pabaya...ebu wahandishi wa habari mlio safi na kama mnawajuwa wenzenu wanaofanya vitendo hivyo wakemee kwa nguvu zote waache kabisa hizo tabia.
Wakumbuke wanayoyafanya leo ni wajukuu wao na wa kwetu watakaopata shida sana...si muda si mrefu sana wote tutakuwa mavumbini na kuacha vyote tulivyopanda hapa hapa duniani...iwe tulivipata kwa jasho letu au kwa ufisadi...
Tujiulize wote nani atakuwepo miaka 30 ijayo....kama si watoto na wajukuu zetu. Sasa waheshimiwa mafisadi tafadhalini sana badili hizo tabia zenu...na nyinyi baadhi ya wahandishi msiokuwa na maadili msikubali njaa zenu ziwafanye kuwa watumwa...
Mungu tuapushe na haya mafisadi yasiyo na aibu....
Wakumbuke wanayoyafanya leo ni wajukuu wao na wa kwetu watakaopata shida sana...si muda si mrefu sana wote tutakuwa mavumbini na kuacha vyote tulivyopanda hapa hapa duniani...iwe tulivipata kwa jasho letu au kwa ufisadi...
Tujiulize wote nani atakuwepo miaka 30 ijayo....kama si watoto na wajukuu zetu. Sasa waheshimiwa mafisadi tafadhalini sana badili hizo tabia zenu...na nyinyi baadhi ya wahandishi msiokuwa na maadili msikubali njaa zenu ziwafanye kuwa watumwa...
Mungu tuapushe na haya mafisadi yasiyo na aibu....