Eeeeh Mwenyezi Mungu!!! Tulidhani ulituletea Mh. John Samuel Malecela, kwa ajili ya viongozi wote wajue nini maana ya uvumilivu kwenye siasa?
Kumbe wengine bado hawajajifunza kwa hili, pamoja na mja wako. Mh. Edward Ngoyai Lowassa???!!!
Mimi namuomba Mh. Edward Ngoyai Lowassa, akaongee na Mh. Malecela akafunzwe umuhimu wa kuwa na uvumilivu na subira!!!
Yale yaliyosemwa kwamba staili yako ya uongozi ni kweli,,, Mh. Lowassa unafanya mambo kwa pupa sana!!! angalia yafuatayoo...
1. Eti wataalamu waangalie mkataba kwa saa moja na kutoa uamuzi...
maana ya saa moja kwa watanzania... dakika 15 kusalimiana, dakika 15 vicheko,,,, dakika 15 kusoma, dakika 15 kuelewa bado ngapi tena... walahi kaka ulistahili kuondoka..
2. Kwa kweli ulitakiwa kuja kwetu after 6 month... lakini kwa sababu ya uongozi wako wa pupa tena,,, umeleta issue hii mapema mno... Nakuheshimu sana lakini ume-justify kwamba ulistahili kuondoka.
3. Wish you all the best kwenye kazi yako ya Ubunge wa Kudumu wa Monduli.